MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
MJ1,
Habari yako binafsi mjukuu wangu? Naamini easter imeenda vizuri na ikakuacha mzima kabisa.
Kwa ufupi na bila kuchakachua post yako ni kwamba UNAFIKI NDiO UNATUTAWALA SISI BINADAMU. Uhalisia unapatikana kwa nadra sana!
Mubarikiwe nyote bandugu bapendwa!
DC
Umeona eh Babu DC....Hakuna zaidi ya hilo.