SnowBall
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 3,054
- 2,840
Ni kama vile what goes around...
Of course anaweza kuwa anajidefend ili na wewe ukifyatua wa kwako anarefer ulivyomfanyia...
Sawa kabisa..wakati mwingine unaweza ijaribu sumu kwa kuilamba...
mbona wadada siku hizi anakutana na mtu asubuhi, saa 6 keshapiga mzinga mtakatifu, huyo amevumilia wiki moja, mbona ni mstaarabu tu!! ni fair play nadhani siku hizi. si wakina dada tu wa kupiga mizinga, hata wakaka nao wamo! hivyo tuvumiliane bi dada!
Of course anaweza kuwa anajidefend ili na wewe ukifyatua wa kwako anarefer ulivyomfanyia...
Na hilo ndilo tatizo lenu_mkiombwa full kulalama,nyie kwa mizinga hamjambo...nimeipenda sana hii style ya mshikaji i.e unaanza mahusiano na msichana then unamshindilia na bonge la mzinga...akikunyima then ngoma droo_kamwe naye hatakuomba...we call it'defensive mechanism'.
Sawa kabisa..wakati mwingine unaweza ijaribu sumu kwa kuilamba...
Kaomba za kufanyia nini!??
Labda anakupima tu!!!!