Na hii pia wameikaushia dah!
Hapa ndani akitupia post binti kutaka mchumba coments zinatiririka hadi dah...SASA ngoja atume mwanaume hapo,inaliwa mikausho hadi lah...!kwamba mabinti wao ndo vipi?
waweza kuta (0)wiki zima.
Nasema tu jaman.
labda kwa wanaume kunajaa PM tu kutoka kwao( wadada)
Wewe mwanaume kwa nini uweke post ya kutafuta wakati ni mtafutwa hujui wewe ni bidha adimu siku hizi kalaga baho
tatizo nyie wanaume zengwe nyingi mnaleta mapicha picha tu hapa
oooh nahitaji mchumba, mi ni mrefu sasa urefu nani anautaka?
mwaga ulichonacho watu tuzame pm tukiwa na uhakika
tatizo nyie wanaume zengwe nyingi mnaleta mapicha picha tu hapa
oooh nahitaji mchumba, mi ni mrefu sasa urefu nani anautaka?
mwaga ulichonacho watu tuzame pm tukiwa na uhakika
bado, kwani umepata deriva report?Mimi tangazo langu naweka PM, sileti huku
Limeshakufikia?
ko uchezee kichapo na kunyanyaswa usiku kucha ila kukicha udrive..utakachokikuta hutakuwa namajigambo nacho ndugu,nenda mkatafte pamoja ili utambe..utatolewa sadaka 1day.
bado, kwani umepata deriva report?
unataka mchumba???
ndio..
nichumbie mimi
dah..!masai dada,mbona ulishatangaza kuolewa hapa?iwaje tena?fanya kutulia na wako mwenza..au sio.