Inaingia inatoka

Inaingia inatoka

pilau

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
1,595
Reaction score
450
Inaingia ....
Inatoka........
Inaingia
Inatoka,
Huku miguu,
Ikichezacheza mikono nayo ikipapasa papasa,.... akimaliza...... kiuno hoi
Du! Fundi Cherehani bwana ... anakazi kweli!
 
Inaingia ....
Inatoka........
Inaingia
Inatoka,
Huku miguu,
Ikichezacheza mikono nayo ikipapasa papasa,.... akimaliza...... kiuno hoi
Du! Fundi Cherehani bwana ... anakazi kweli!

ha ha ha ha haya we
 
Enyi kizazi cha nyoka na ukahaba,tazama hukumu ya mwisho yaja!
 
kizazi cha nyoka kimetoka wapi tena? ww ndiye unamawazo ya ukahaba cz mada ni fundi cherehani ww mbona unaforce mengine?
 
ebwana noumeeerrr,,,,,niishaanza kuwaza kwanini hawajaitoa thread yako,maana hawachelewi..sijui hata wanalalaga saa ngapi
 
hii kaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom