Nakupa connection humu yupo kiumbe anaitwa Luca,msimu umemwia mgumu mafungu ya posho imekuwa tabu anako ka vitz kake namba D.Ameamua kukatoa avuke huu msimu mgumu,zaidi alipata boda ya kijani ndio maana kapata jeuri!Kama tangazo linavyosema cc 1290 jamani kutoka kwa mmiliki halali pesa ipo.mfuko wa shati 6 hadi 7 gari isiwe.mbovu tu maana mm.mwenyewe mtaalam
0678096545
Hebu niconect nae mkuu anatumia id.ganiNakupa connection humu yupo kiumbe anaitwa Luca,msimu umemwia mgumu mafungu ya posho imekuwa tabu anako ka vitz kake namba D.Ameamua kukatoa avuke huu msimu mgumu,zaidi alipata boda ya kijani ndio maana kapata jeuri!
Mgoogle Luca MushambwaMkuu
Mbona tena kicheko mdau?
Wenye magari wanaelewaVitz new model ukimaanisha model ya 2026?
Ni bora ukaandika unahitaji vitz model ya mwaka xxxx kuliko hicho ulichoandika
Wenye magari wanaelewa
Hizo ni dharau, na sio vuzuri kudharau mtu usiyemjua.Wenye magari wanaelewa
Punguza maswali elewa hoja narudia wenye magari washaelewaHizo ni dharau, na sio vuzuri kudharau mtu usiyemjua.
Niambie vitz new model ni ipi ili tujue wenye magari wanaelewa au wewe ndio huelewi!
Sawa mzee, "wenye magari" washaelewa.Punguza maswali elewa hoja narudia wenye magari washaelewa
Mkuu hiyo IST rangi gani.Fanya 8 nikupe IST