GODZILLA
JF-Expert Member
- Dec 26, 2014
- 5,902
- 10,503
eeeeeeeh?Hutakiwi kuwa na gari moja tu mana utakuwa unakosa features nyingi kwa gari za miaka ya karibuni.
eeeeeeeh?Hutakiwi kuwa na gari moja tu mana utakuwa unakosa features nyingi kwa gari za miaka ya karibuni.
Kweli hao watakuwa ni wazungu washamba maana huwezi kubaki nyuma ya tech halafu ukajiita mjanjaHata wazungu wapo washamba pia. Lengo la teknolojia ni kurahisisha mambo.
Kweli lakin hapa tunaongelea kwa watu wengi na sio hao wachache ambao unataka kuwainclude.Sio kila mtu yuko interested na hizo tech,sa hivi kuna wazungu kibao mitandaoni wanalalamika wame-miss kuendesha gari kama gari(No ABS,powerwindow,Parking assistant,Camera za nyuma,ma infotainment,Gps,
Lane change assist technology, inshort wamechoka na haya magari ya kisasa yaliyojazwa takataka nyingi.
Ninayo moja ambayo ni Starlet gt turbo ep 82 ni safi sana ndugu mtoa mada, nimekuwa na gari tofauti kama vile Cresta Gx 100, Mark 11 grand, vitz, Carina nk lakini zimeikuta na zimeondoka na hiyo ipo pale pale.
Kweli lakin hapa tunaongelea kwa watu wengi na sio hao wachache ambao unataka kuwainclude.
Mfano mzuri wewe kwasasa hivi unaweza agiza hiyo gari from japan ?????? Halafu uache option za magari mengine ?
Possibly hujawahi hata kuwasikia Car collectors.Hata wazungu wapo washamba pia. Lengo la teknolojia ni kurahisisha mambo.
Nimekupata mkuu hata mimi ni kama wewe pia ni car enthusiast nipo kule team cruiserSiwezi kuagiza Starlet sababu sina mzuka nayo mkuu,lkn kama uwezo upo naweza kuagiza gari kibao za miaka hio zisizo na hizo tech mfano.Toyota (MR2 1982,Publica 1970),Nissan(bluebird 1970,Datsun 1972),Mazda Cosmo 1968 etc bado sijaja huko Germany ziko nyingi tu.
Mi ni car enthusiast mkuu,hizi tech mpya hazinipi mzuka wowote.
Pamoja mkuu,si unaona Gari kama ya 2020 Toyota LandCruiser 76 Series GXL ambayo kioo ni cha kushusha kwa mkono,hakuna reverse camera,kiti una adjust manually,manual air conditioning,no parking sensors.Nimekupata mkuu hata mimi ni kama wewe pia ni car enthusiast nipo kule team cruiser
Hii chombo ya kazini STLPamoja mkuu,si unaona Gari kama ya 2020 Toyota LandCruiser 76 Series GXL ambayo kioo ni cha kushusha kwa mkono,hakuna reverse camera,kiti una adjust manually,manual air conditioning,no parking sensors.
😀 Wanasema, you die like a real manNo ABS no airbag no power windowView attachment 1678730
, kama huna ni wewejf kila mtu ana gari
Hakika, kama huna ni wewe
cku izi had 3M unapata kigari used, kababy walker japo kabaya kabaya ndo mana cku izi kila mtu ana gari hadi wanafunz wa vyuo.Hakika
utafikiri real man lazima ufe humoWanasema, you die like a real man
Truecku izi had 3M unapata kigari used, kababy walker japo kabaya kabaya ndo mana cku izi kila mtu ana gari hadi wanafunz wa vyuo.