Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Fool ni wewe unayetetea ujinga,hao machinga wanalindwa na sheria ipi?

Usiishi kwa mazoea kenge wewe fuata sheria,kanuni na taratibu pimbi kabisa
Never argue with an idiot. You’ll never convince the idiot that you’re correct, and bystanders won’t be able to tell who’s who.

Nilifunzwa na Mama
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
....nimewasikia na hilo tangazo lao hiyo j.3 watanikuta buzuruga nimepanga viatu vyangu waniue vizuri....wanataka kugeuza nchi kama Mali yao binafsi...sikuwa kujua kama Kuna wanawake wana roho mbaya namna hii duniani 🤔
 
Wangewaacha wa Makoroboi,hawa toka enzi na enzi wako hapo.
....sio makoroboi Tu nazani nchi nzima machinga wangepewa taarifa ya kutakiwa kuhama Kisha wakapewa miezi mitatu ya kujiandaa na Jambo hilo...Kisha watendaji wa serikali wakaanza kuaandaa maeneo rafiki na kuwapanga watu taratibu ndani ya mda huo....ajabu ya Samia tunafukuzwa bila kupewa maeneo yakuweka mabanda yetu kila sehemu ukienda wanasema pamejaa
 
....nimewasikia na hilo tangazo lao hiyo j.3 watanikuta buzuruga nimepanga viatu vyangu waniue vizuri....wanataka kugeuza nchi kama Mali yao binafsi...sikuwa kujua kama Kuna wanawake wana roho mbaya namna hii duniani 🤔
Mmachinga amatakiwa atembee na bidhaa zake maeneo tofauti akitafuta wateja na sio kukaa sehemu moja na kuweka kibanda, huyo si mmachinga bali ni mfanyabiashara na anatakiwa afuate taratibu na sheria zilizowekwa na Mamlaka husika.
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
MKUU NAULIZIA MREJESHO, VIPI JAMBO LENU MLIFANIKISHA
 
29 October 2021
Mwanza, Tanzania

Serikali kupata mapato zaidi Mwanza baada ya machinga kupangwa



Mapato ya kodi kuongezeka toka kwa wafanyabishara wa maduka baada ya operesheni ya kuwapanga machinga jijini Mwanza kupata mafanikio makubwa .....


Source : Wasafi Media
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
Mi-5 tena!
 
Back
Top Bottom