Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Wamachinga wasihofu, mwaka 2024 wataruhusiwa tena kufanya biashara na kugawiwa mashati ya kijani kama maandalizi ya October 2025.Wamachinga wajue tu kuwa CCM haijawahi kuwa chama cha kuwatetea
Wamachinga wasihofu, mwaka 2024 wataruhusiwa tena kufanya biashara na kugawiwa mashati ya kijani kama maandalizi ya October 2025.Wamachinga wajue tu kuwa CCM haijawahi kuwa chama cha kuwatetea
Never argue with an idiot. You’ll never convince the idiot that you’re correct, and bystanders won’t be able to tell who’s who.Fool ni wewe unayetetea ujinga,hao machinga wanalindwa na sheria ipi?
Usiishi kwa mazoea kenge wewe fuata sheria,kanuni na taratibu pimbi kabisa
....nimewasikia na hilo tangazo lao hiyo j.3 watanikuta buzuruga nimepanga viatu vyangu waniue vizuri....wanataka kugeuza nchi kama Mali yao binafsi...sikuwa kujua kama Kuna wanawake wana roho mbaya namna hii duniani 🤔Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
....sio makoroboi Tu nazani nchi nzima machinga wangepewa taarifa ya kutakiwa kuhama Kisha wakapewa miezi mitatu ya kujiandaa na Jambo hilo...Kisha watendaji wa serikali wakaanza kuaandaa maeneo rafiki na kuwapanga watu taratibu ndani ya mda huo....ajabu ya Samia tunafukuzwa bila kupewa maeneo yakuweka mabanda yetu kila sehemu ukienda wanasema pamejaaWangewaacha wa Makoroboi,hawa toka enzi na enzi wako hapo.
... sheria au uonevu?Maneno matupu nyuma ya keyboard! Hakuna kitu utafanya. Ushauri Wangu wa bure: Tii sheria bila shuruti.
Bado upo Buzuruga na Ofisi yako?... sheria au uonevu?
Mmachinga amatakiwa atembee na bidhaa zake maeneo tofauti akitafuta wateja na sio kukaa sehemu moja na kuweka kibanda, huyo si mmachinga bali ni mfanyabiashara na anatakiwa afuate taratibu na sheria zilizowekwa na Mamlaka husika.....nimewasikia na hilo tangazo lao hiyo j.3 watanikuta buzuruga nimepanga viatu vyangu waniue vizuri....wanataka kugeuza nchi kama Mali yao binafsi...sikuwa kujua kama Kuna wanawake wana roho mbaya namna hii duniani 🤔
MKUU NAULIZIA MREJESHO, VIPI JAMBO LENU MLIFANIKISHALeo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
Mi-5 tena!Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi