Inadaiwa kuanzia Jumatatu hatakiwi kuonekana machinga yeyote mjini Mwanza

Pale vingunguti hakusimama hata ngedere mmoja, huwa wanasimama wale wenye alama ya damu kudadeki

Inasemekana kuna jamaa alikufa palepale kwa mshtuko lakini hata mwandish hakusogea kuuliza
 
Elimu za chuo kikuu za kuzuia haki za wengine?
Kuziba barabara. Kuziba njia za waenda kwa miguu. Kuziba mitaro. Kuziba biashara za wengine. Basi huko chuo kikuu walienda kusomea ujinga. Wapambane na hali zao.
Unajiona umeandika kitu Cha maana.....Sema tu MUNGU sio mwanadamu

Watu kama nyie mkipewa nafasi mbona watu watakoma....

Nimesoma aina ya uchangiaji wako kweny thread mbalimbali.....Nimegundua wew ni mtu wa type gani...... So hunisumbui

Alie andika unakuta ni KKB yaani KULA KULALA BURE (KKB) Au LUMUMBA BUKU 7

Na kichwani mwa KKB Au LUMUMBA BUKU 7 Huwezi pata Cha maana mpaka yamkute.....

Si itaji debate na wewe fanya kama hujasoma maoni yangu....
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
Mkakae maeneo rasmi mliyotengewa
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
1.wakulima wametafutiwa mashamba na serikali?

2.walio ajiriwa sekta binafsi wametafutiwa kazi na serikali?

3.mafundi ujenzi na vibarua mbalimbali wametafutiwa kazi na serikali?

4.Ninyi ni akina nani mnaojiliza na kudhani kuwa ni haki yenu serikali iwatafutie sehemu ya kuuzia bidhaa zenu?

5. Road reserve mmevamia na mpaka baadhi ya barabara zilizojegwa kwa garama kubwa mmeziharibu uwezo wa kupanga frem mnao lakini mnajitoa ufahamu
 
Unajiona umeandika kitu Cha maana.....Sema tu MUNGU sio mwanadamu

Watu kama nyie mkipewa nafasi mbona watu watakoma....

Nimesoma aina ya uchangiaji wako kweny thread mbalimbali.....Nimegundua wew ni mtu wa type gani...... So hunisumbui

Alie andika unakuta ni KKB yaani KULA KULALA BURE (KKB) Au LUMUMBA BUKU 7

Na kichwani mwa KKB Au LUMUMBA BUKU 7 Huwezi pata Cha maana mpaka yamkute.....

Si itaji debate na wewe fanya kama hujasoma maoni yangu....
Umeambiwa ukweli acha kuvimbisha matako
 
Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,

Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?

Tukale nyumbani kwenu?

Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza

Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?

Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?

Haiwezekani haiwezekani haiwezekani

Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.

Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.

Tumechoka upuuzi
Full stop ataekatiza barabarani atachakazwa
 
Ifike mahali tuheshimu mamlaka. Maeneo yote mnayoyaona ni ni mazuri kwa kufanyia biashara, serikali haikutengeneza kwa ajili ya kufanyia biashara. Barabara zimejengwa ili vyombo vya moto vipite humo pia kuna njia za waenda kwa miguu kwa ajili yetu watembeaji.
Lakini kwa sasa ukiangalia ile barabara ya Nyerere na eneo lote la stendi ya Makoroboi mmezagaa hovyohovyo kabisa. Hakuna nafasi ya kupita mwananchi.
Pia biashara mnazofanya ni kubwa sana tofauti na uhalisia wa neno Mmachinga. Kiatu unakiuza kwa shilinga 45,000 na pale chini umeweka viatu kama Pair 100 hivi. Je wewe pia unataka undelee kuitwa mmachinga? Serikali ikikufata ulipe kodi, utapiga chenga tu kwa sababu lile eneo sio permanent, hivyo unaweza hamisha kijiwe.
Lakini ukienda sehemu maalumu iliyowekwa kwa ajili yenu, inakua rahisi hata ufatiliaji wa Kodi.
Kuna wafanya biashara wakubwa wa vyombo vya ndani, nguo na viatu wameweka biashara njiani, njiq hazipitiki. Tunaomba msitupe kazi kubwa ya kuwaondoa.
 
Hawa vijana hawana akili.
Waliuza utu wao kwa sahani ya ubwabwa na buku 5.
Magufuli angekuwa anakubalika asingegawa pesa kwa ma VEO ilo kuwahonga wananchi wanaomkubali.
 
Back
Top Bottom