Chawamzoefu
New Member
- Oct 2, 2021
- 1
- 1
Ni vyema wakafata tu uratibu kwa usalama wa maisha yao na bidhaa zao pia…Majuto ni mjukuu.
Machinga walichokosea Ni kuhamishia maduka barabarani.Wangeendelea kuuza bidhaa za ndogondogo wasingefukuzwa.Kodi inatafutwaLiwalo na liwe patachimbika
Unajiona umeandika kitu Cha maana.....Sema tu MUNGU sio mwanadamuElimu za chuo kikuu za kuzuia haki za wengine?
Kuziba barabara. Kuziba njia za waenda kwa miguu. Kuziba mitaro. Kuziba biashara za wengine. Basi huko chuo kikuu walienda kusomea ujinga. Wapambane na hali zao.
Mkakae maeneo rasmi mliyotengewaLeo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
1.wakulima wametafutiwa mashamba na serikali?Leo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
Umeambiwa ukweli acha kuvimbisha matakoUnajiona umeandika kitu Cha maana.....Sema tu MUNGU sio mwanadamu
Watu kama nyie mkipewa nafasi mbona watu watakoma....
Nimesoma aina ya uchangiaji wako kweny thread mbalimbali.....Nimegundua wew ni mtu wa type gani...... So hunisumbui
Alie andika unakuta ni KKB yaani KULA KULALA BURE (KKB) Au LUMUMBA BUKU 7
Na kichwani mwa KKB Au LUMUMBA BUKU 7 Huwezi pata Cha maana mpaka yamkute.....
Si itaji debate na wewe fanya kama hujasoma maoni yangu....
Maeneo gani mkuu wametii amri bila shurti hapa daslamu?Dar wameshaanza kubomoa wenyewe bila shurti baada ya kipande Cha Airport Vingunguti kufanyiwa demonstration.
Full stop ataekatiza barabarani atachakazwaLeo wamepitisha matangazo jijini Mwanza kwamba kwanzia jumatatu hawataki kuona machinga yoyote mjini, lakini hatujui wanataka watuone wapi, wanaotangaza haya wao ni watumishi wa serikali wanatembelea magari, kipato chao ni serikalini,
Sisi kipato chetu ni mtaani kwanini mtufukuze?
Tukale nyumbani kwenu?
Tumesoma kwa gharama mmekataa kutuajiri tumejiajiri mnatufukuza
Mnadai machinga hawalipi kodi kwani sisi tumewazuia kutudai kodi? mlikuja kuombatukakataa?
Mnasema tunaziba njia mlishasikia gali imeshindwa kupita kisa machinga? kati ya katikati na mji na pembezoni mwa mji ni wapi ajali hutokea mara nyingi?
Haiwezekani haiwezekani haiwezekani
Jumatatu afe beki afe kipa heri nifie barabarani lakini sitakubali kunyanyasika bila sababu za msingi.
Jumatatu mkae kwa umakini tuna jambo letu.
Tumechoka upuuzi
Wazungu hawakukosea....Umeambiwa ukweli acha kuvimbisha matako
Waende wakalime..mapori yamejaaMimi naona wakiwahamisha wawaoneshe wapi wataenda
Wewe ukiwa umejificha milima ya uluguru huko
Haaa! umenikumbusha mzalendo nambari one,a.k.a presidaa wawanyongeTulia wewe team Jiwe CCM ikudunge sindano.
CCM kwa miaka 60 yote hawajawahi kuleta ahueni kwa wananchi wake zaidi ya kuwaigizia.
Rais yeyote akijua kuwaigizia tu wajinga wanamshangilia