mkuu wanaanza na training je umeishafanya kama bado na unanamba ya registration nimeona kuna training taree 25 wanataka watu kama 200 nenda kabook bila kobook hawawezi kukuita kamwee mzee changamkia fursa mpaka muda huu kati ya watu 200 wameomba 17 tuHabari zenu wakuu,
Iinachukua muda gani kuitwa interview TAESA baada ya kufanya registration.
Shukrani
procedure za taesaHabari zenu wakuu,
Iinachukua muda gani kuitwa interview TAESA baada ya kufanya registration.
Shukrani
ingia kwenye web ya www. taesa.go.tz halafu ingia seehemu iyo taesa jobs gateway fuata maelekezoNaomba mwongozo namna yakujiregister na Mfumo wa taesa wakuu
🙏 Asante sana mkuu.ingia kwenye web ya www. taesa.go.tz halafu ingia seehemu iyo taesa jobs gateway fuata maelekezoView attachment 2726821
Nimefanya yote watakayo ila bado chalii mwaka sasa
Wengine wajuzi wanatoboa
Tuwaachie wao tuYani sijui huwa nizali. Maana me nimefanya interview mwezi wa kwanza mpaka leo chalii
uneingia kwenyw profile yako ukaona sehemu ya interview inatiki au inawezekana ulifeliYani sijui huwa nizali. Maana me nimefanya interview mwezi wa kwanza mpaka leo chalii
Mbona hapa haikubali inaleta hvingia kwenye web ya www. taesa.go.tz halafu ingia seehemu iyo taesa jobs gateway fuata maelekezoView attachment 2726821
Interview zao huwa zinakuaje!?Yani sijui huwa nizali. Maana me nimefanya interview mwezi wa kwanza mpaka leo chalii
Easy tuInterview zao huwa zinakuaje!?
Kubook trainingBaada ya kujiunga na kupewa registration no, naomba msaada wakuu kinachofwata hapo nikipi?
Nashukuru mkuu nimefanikiwa kubook training nimetumiwa email nikachek tena kweny web Yao nikakuta ivKubook training
Mwanza taesa ofisi zao si unazijua mkuu, sasa hakikisha unafika hapo, zingatia tareh 30-31 training itafanyika ni vema ungewapigia simu wakwambia tarehe exactly , maan mm nakumbk nilibook leo, kesho nikaend wakaniambia kesho kutwa yake..Nashukuru mkuu nimefanikiwa kubook training nimetumiwa email nikachek tena kweny web Yao nikakuta ivView attachment 2732932 naomba kuelewesha zaidi hapo mkuu na nyingine hii👇
View attachment 2732933
apo panapoonyesha scheduled ndio siku ya training iyo tareehe unattakiw uende na uzingatie huo mudaNashukuru mkuu nimefanikiwa kubook training nimetumiwa email nikachek tena kweny web Yao nikakuta ivView attachment 2732932 naomba kuelewesha zaidi hapo mkuu na nyingine hii
View attachment 2732933
Shukran mkuuMwanza taesa ofisi zao si unazijua mkuu, sasa hakikisha unafika hapo, zingatia tareh 30-31 training itafanyika ni vema ungewapigia simu wakwambia tarehe exactly , maan mm nakumbk nilibook leo, kesho nikaend wakaniambia kesho kutwa yake..