Inachezwa chini ya maji mno

Inachezwa chini ya maji mno

images (4).jpeg


"Sauti hazitasikika mapema! Walio nje ya maji watasikia Mlio baada ya samaki woote kuusikia" ....

80 YEARS LATER ....

🚮🚮🚮🚮🚮
 
Binadamu wengi wana uraibu wa aina fulani unaofanya akili isifanye kazi yake kwa kiwango kwenye baadhi ya mambo..wewe unayo hii hali hata km hujui uko nayo.
And your research is based on single comment from there unakuja na na weak conclusion ?

Nigga pls, huna unalolijua. Historical event zinajirufia again and again, the difference ni trigger factor
 
Wenye nguvu kama huna jeshi ni ngumu kuwashinda kwa kupiga kelele.

Ile MO29 isingewezekana bila msaada wa Silaha. Kama silaha zingekuwepo mtaani wale waliojitokeza walitosha kabisa kugeuza mawe.

Lakini huna silaha, huna mipango, huna pesa, unawezaje kushinda
Yaani wale wafanya vurugu wangekua na silaha wangeshinda,nyi watu vyombo vya Dola mnavichukuliaje?!..yaani raia uwe na AK 47 ushindane na na snipers na kikosi maalum Cha tiss Cha kupambana na ugaidi,jwtz,polisi!?..mtakufa kifala
 
Back
Top Bottom