pakamwam
JF-Expert Member
- May 28, 2013
- 516
- 651
Kuna mjadala mgumu sana kuhusu uhalali wa kutoa mimba au Kuto itoa.
Hoja za wengi wanaosema isitolewe ni za kidini wengi husema kuua ni dhambi. Sawa lakini swali la msingi ni hili hapa. Uzinzi ni dhambi kubwa kuliko zote. Mtu amezini na kupata mimba, anaogopaje kutoa kwa kuogopa dhambi hiyo hiyo?
Lakini pia lipo swali la msingi sana hapa. Je ni wakati gani kiumbe kinakuwa na haki.
Mtoto wa shule napata mimba, na shule itaisha na hapo haruhusiwi kurudi tena na inamaanisha maisha yake Dah! Hayatakuwa na matarajio ya elimu. Je ni sahihi huyu mtu kuleta mtoto atayekuwa kwenye mazingira ya kifukara kutokana na mama kushindwa shule?.
Je ni sahihi kutoa mimba katika mazingira fulani?
Kumzuia mtu kutoa mimba wakati anataka sio kuingilia uhuru wake? Maana yeye ndiye anayetoa malezi kwa mtoto ndani. Je kumlazimisha kukaa naye wakati hamtaki ni sahihi kwa afya ya mama na mtoto.
Naamini dhambi ni dhambi. Kuzini na kuua sehemu ni moja siku ya kiama
Hoja za wengi wanaosema isitolewe ni za kidini wengi husema kuua ni dhambi. Sawa lakini swali la msingi ni hili hapa. Uzinzi ni dhambi kubwa kuliko zote. Mtu amezini na kupata mimba, anaogopaje kutoa kwa kuogopa dhambi hiyo hiyo?
Lakini pia lipo swali la msingi sana hapa. Je ni wakati gani kiumbe kinakuwa na haki.
Mtoto wa shule napata mimba, na shule itaisha na hapo haruhusiwi kurudi tena na inamaanisha maisha yake Dah! Hayatakuwa na matarajio ya elimu. Je ni sahihi huyu mtu kuleta mtoto atayekuwa kwenye mazingira ya kifukara kutokana na mama kushindwa shule?.
Je ni sahihi kutoa mimba katika mazingira fulani?
Kumzuia mtu kutoa mimba wakati anataka sio kuingilia uhuru wake? Maana yeye ndiye anayetoa malezi kwa mtoto ndani. Je kumlazimisha kukaa naye wakati hamtaki ni sahihi kwa afya ya mama na mtoto.
Naamini dhambi ni dhambi. Kuzini na kuua sehemu ni moja siku ya kiama