Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,459
- 29,153
Ni kweli Tanzania tumeishiwa kabisa watu wenye akili au ni masihara ya kuwaachia viongozi wawe ndio waamuzi wetu, maana nchi ni kama haina wataalam na wachumi kabisa wa kuweza kutuongoza au kututengenezea system ya maendeleo, eti leo hatuna umeme kisa maji yamekwisha kule mtera na maeneo kwan hakuna vyanzo vingine vya umeme mpaka tujikite kwenye maji tu mbona kuna nchi hazina mabwawa wala mito lakini hazijawai kukatikiwa na umeme maisha yao yote? ok tuna uranium mbona hakuna mwenye akili ambae kajaribu kutuambia tuichanganye na nini ili tupate umeme wa uhakika? sio lazma kitu hicho aseme mnyika hata sisi tunaweza bana. sio kwenye umeme karibu kila sekta inahitaji marekebisho ili tuendelee na wachumi wetu mnatakiwa mjitume sio kukaa na kujiita wachumi wakati huna hata moja ulilolifanya