marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,092
- 1,917
Hotuba nzima sijaskia suala la utekaji likizungumzwa licha ya kuwa moja ya ajenda kuu za watu walioandamana siku ya Uchaguzi
Ameongelea katiba Japo majibu hayaridhishi ila walau ameongelea
Ameongelea Serikali iliyopo kung'oka madarakani, kimsingi sijaridhika na alicho sema ila najua ilikuwa lazima aseme alichosema kama Raisi
Kama kiongozi wa juu hupaswi kulili huruma za watu lazima uwe mbabe ili udefine power yako ..
ila sijaskia akiongelea utekaji wala waliopotea kwa kutekwa akiwemo Pole pole
Hii kitu inanitia sana huzuni na mashaka. Kwanini hili swala linazidi kushika kasi na hawaliongele kabisaaa
Sio Raisi. Sio mawaziri hawataki kabisa kuligusa. Why?
Ameongelea katiba Japo majibu hayaridhishi ila walau ameongelea
Ameongelea Serikali iliyopo kung'oka madarakani, kimsingi sijaridhika na alicho sema ila najua ilikuwa lazima aseme alichosema kama Raisi
Kama kiongozi wa juu hupaswi kulili huruma za watu lazima uwe mbabe ili udefine power yako ..
ila sijaskia akiongelea utekaji wala waliopotea kwa kutekwa akiwemo Pole pole
Hii kitu inanitia sana huzuni na mashaka. Kwanini hili swala linazidi kushika kasi na hawaliongele kabisaaa
Sio Raisi. Sio mawaziri hawataki kabisa kuligusa. Why?