Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,379
wasukuma the hell kabisa siwasemi vibaya ila ninaishi nao wengi sana !!
Nivea, sio wote bwana, ni kama wachaga tunavyosemwa vibaya lakini sio wote wabaya, majaribu na vituko vya mawifi/mama wakwe yapo kila kona ni wewe kujisimamia/kujipambania tu.