CHOKAMBOVU
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 856
- 584
sisi kwetu huku kwa wasukuma mpaka wake nane na bado wanahudumiwa sasa we mmoja tu angalia usije ukakimbia
IS IT YOU AS YOU YOU!!!!!!!!!!!!!!!!!!!???????? Or is it my mind playing tricks on me????? Ama kweli kila shetani na mbuyu wake! Na kwa hakika umepata mbuyu wako!
I cant be happier for you!!!!!!! Aaaaaaaaw!!!!!!!!
WE KIMBIA KIMBIA TU!
SIKU SI NYINGI UTAKUJA HAPA NA kopo la ndimu kabisaa unatutuma tukuwekee order kwa remtullah!
siku za hv karibuni swagger zako kama nazielewa elewa vileeee!
ehehehhehhehe home sweet hooome!
salimia mchaga bana!
i hope umeshachagua na team ya kushabikia kabisaaa!
Napendaga wajanja wakishikwa
Wanakuwa zombie wao, basi mie roho kwatuuuuuu
wasukuma wengi ni maskini wa akili na hawataki kujishughulisha na kujikwamua na ukitoka kimaisha kwao wanakutegemea ukwamue ukoo mzima -samahani kwa hilo nina clear evidence mimi na marafiki walioolewa na wasukuma hasa ukiwa kabila toifauti watakusumbua.huyo mtoa mada one day niliuliza kitu hapa akanitusi mimi blabla sipendi wakwe blablabla wakati mimi nilikuwa nataka kujua tu khaMbona wasukuma hatunaga kwere na wifi zetu?
Wanajamvi asalaam aleikum....habari zenyu banaaaaaaa
kimya kingi kinamshindo,nilikuwa holiday it was fun nime-enjoy kiukweli
but jambo la msingi ni kuwa am getting married...soon
nimekuta PM za kumwaga jamani shukrani kwa wote
ila niseme tu for now i have hit the rock bottom
i dont know if he is the one or if am making the right decision
what i know is that am getting married
its now or never
nimempata msukuma ananifanya natabasamu all day long
ananipikia ananikogesha ananifulia kwa bed ndo usiseme OMG wat can i say?
am in love....
wasukuma wengi ni maskini na ukitoka kwao wanakutegemea ukwamue ukoo mzima -samahani kwa hilo nina clear evidence mimi na marafiki walioolewa na wasukuma hasa ukiwa kabila toifauti watakusumbua.huyo mtoa mada one day niliuliza kitu hapa akanitusi mimi blabla sipendi wakwe blablabla wakati mimi nilikuwa nataka kujua tu kha
wasukuma wengi ni maskini na ukitoka kwao wanakutegemea ukwamue ukoo mzima -samahani kwa hilo nina clear evidencne mimi na marafiki walioolewa na wasukuma hasa ukiwa kabila toifauti watakusumbua.huyo mtoa mada one day niliuliza kitu hapa akanitusi mimi blabla sipendi wakwe blablabla wakati mimi nilikuwa nataka kujua tu kha
wasukuma the hell kabisa siwasemi vibaya ila ninaishi nao wengi sana !!Da we utakuwa unawajua vizuri sana nimekaa usukumani eleven years this is the tribe which I always pray that I should not even the hell fall.my sister ameolewa huko the family is crying for her
wasukuma the hell kabisa siwasemi vibaya ila ninaishi nao wengi sana !!
congratulations mumy, love is everything that every one needs in this life,i wish you nothing but the best of luckWanajamvi asalaam aleikum....habari zenyu banaaaaaaa
kimya kingi kinamshindo,nilikuwa holiday it was fun nime-enjoy kiukweli
but jambo la msingi ni kuwa am getting married...soon
nimekuta PM za kumwaga jamani shukrani kwa wote
ila niseme tu for now i have hit the rock bottom
i dont know if he is the one or if am making the right decision
what i know is that am getting married
its now or never
nimempata msukuma ananifanya natabasamu all day long
ananipikia ananikogesha ananifulia kwa bed ndo usiseme OMG wat can i say?
am in love....
Da we utakuwa unawajua vizuri sana nimekaa usukumani eleven years this is the tribe which I always pray that I should not even the hell fall.my sister ameolewa huko the family is crying for her
wasukuma the hell kabisa siwasemi vibaya ila ninaishi nao wengi sana !!
uje utupe feedback za wakwe wa kisukuma maana tunawajua fika cha mtoto wao kamwe hakiwezi kuwa chako hahahahaa awe duniani au amekufa ulicheka na kuninanga siku ile thanks god sasa ua going to swallow a bitter pill hapo ndipo utakikimbia kivuli chako mwenyewe .
nilijuaga kwa maneno yale hutakuja olewa kama ulivyokuwa unajisemea ,usitukanae mamba hujavuka mto .sisemi vibaya ila ulinitusi that day,na nilichukia sana japo sikukujibu
KILA LA KHERI BIBIE ,MAISHA NI HAYA HAYA HAMNA MENGINE