In loving Memory of my Mama

In loving Memory of my Mama

imeniuma, siwezi nyima haki mwanangu no matter what..

Heri yenu wenye memories za kuogeshwa na mama zenu, mnaokumbuka mlivyotaniana na mama zenu wakati wa utoto wenu.

Binafsi nilitengwa na mama yangu nikiwa na miaka miwili. Sikumwona tena hadi nilipofika kidato cha tano na baadae kidato cha Sita. Nilijengewa mazingira ambayo kumuona ilikuwa ni kufanya wizi wa kiwango cha grade "A".

Baada ya hapo, sikumwona tena, mpaka nilipopata taarifa kwamba alifiriki miezi miwili iliyopita nikiwa najiandaa kwenda kwenye mahafali ya first degree.

Hongereni sana mliopata nafasi kuita mama,,,naye akaitika, mliokesea kisha mama akawafinya kidogo kuwakanya kwa upendo, mliosema mama njaa, akawaletea uji au mlio na kumbukumbu za matukio mbalimbali mkiwa na mama zenu. HERI YENU


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
pole ndg, maisha ni mzunguko, kuna kipindi nilimuuguza mama mda mrefuu mnooo, nilikata tamaa anikijua naelekea kumpoteza,

nashukuru Mungu alinipa nafasi nyingine tena ya kuwa nae karibu, toka 2014 sikutaka kukaa nae mbali mamangu, nilipo yupo alipo nipo.

haishi pamoja na baba maana baba yuko mkoa mwingine ila nauona Upendo wa Kristo umetawala katikati yetu..

Naelewa mtoa maada anachokipitia,

nikutana na changamoto yoyote nakimbilia kwa mama, nikiudhiwa mahali popote hata niko mbali ntamshtakia mama,

Mungu awape faraja walopoteza mama zao na walio Hai Mungu awape umri mrefu watulelee wenetu,

No one like Mom....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri yenu wenye memories za kuogeshwa na mama zenu, mnaokumbuka mlivyotaniana na mama zenu wakati wa utoto wenu.

Binafsi nilitengwa na mama yangu nikiwa na miaka miwili. Sikumwona tena hadi nilipofika kidato cha tano na baadae kidato cha Sita. Nilijengewa mazingira ambayo kumuona ilikuwa ni kufanya wizi wa kiwango cha grade "A".

Baada ya hapo, sikumwona tena, mpaka nilipopata taarifa kwamba alifiriki miezi miwili iliyopita nikiwa najiandaa kwenda kwenye mahafali ya first degree.

Hongereni sana mliopata nafasi kuita mama,,,naye akaitika, mliokesea kisha mama akawafinya kidogo kuwakanya kwa upendo, mliosema mama njaa, akawaletea uji au mlio na kumbukumbu za matukio mbalimbali mkiwa na mama zenu. HERI YENU


Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi wa majonzi huu poleni wapendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole Sana aiseeeee
Nipo home peke yangu then nina magumu yananikabili naishia kusiliza gospel music huku chozi linanitoka coz sina mfariji(mpweke).I wish MAMA Angekuwepo lakini ndio she is no more with me.
Kama MOM Angekuwepo najua spirit yangu ingekua high kwa ushauri wake na tungeumia pamoja na tungelia pamoja lakini ndio hayupo hayupo hayupo tena.Namshukuru MUNGU Kunipa katoto kangu ka miaka mitatu nikimuangalia na nikifikiria future yake huwa napata nguvu.
REST IN PEACE MOM AND I'LL MOURN TILL I MEET U AGAIN.

You are strong than what you think...
 
Pole sana Elli. Aendelee kupumzika kwenye amani ya milele mama yetu.
Sikuishi na mama yangu lakini toka nimekua mama nimeelewa ni kiasi gani mama ananipenda. Nikiwaza siku ambayo nitampoteza mama yangu huwa napata ganzi kabisa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nipo home peke yangu then nina magumu yananikabili naishia kusiliza gospel music huku chozi linanitoka coz sina mfariji(mpweke).I wish MAMA Angekuwepo lakini ndio she is no more with me.
Kama MOM Angekuwepo najua spirit yangu ingekua high kwa ushauri wake na tungeumia pamoja na tungelia pamoja lakini ndio hayupo hayupo hayupo tena.Namshukuru MUNGU Kunipa katoto kangu ka miaka mitatu nikimuangalia na nikifikiria future yake huwa napata nguvu.
REST IN PEACE MOM AND I'LL MOURN TILL I MEET U AGAIN.
Pole mkuu.. hayo majaribu yote yatafika mwisho. Baada ya kiza huja mwanga. Usikate tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Heri yenu wenye memories za kuogeshwa na mama zenu, mnaokumbuka mlivyotaniana na mama zenu wakati wa utoto wenu.

Binafsi nilitengwa na mama yangu nikiwa na miaka miwili. Sikumwona tena hadi nilipofika kidato cha tano na baadae kidato cha Sita. Nilijengewa mazingira ambayo kumuona ilikuwa ni kufanya wizi wa kiwango cha grade "A".

Baada ya hapo, sikumwona tena, mpaka nilipopata taarifa kwamba alifiriki miezi miwili iliyopita nikiwa najiandaa kwenda kwenye mahafali ya first degree.

Hongereni sana mliopata nafasi kuita mama,,,naye akaitika, mliokesea kisha mama akawafinya kidogo kuwakanya kwa upendo, mliosema mama njaa, akawaletea uji au mlio na kumbukumbu za matukio mbalimbali mkiwa na mama zenu. HERI YENU


Sent using Jamii Forums mobile app
. Pole sana na Mshukuru Mungu kwa kila jambo mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni experience ngumu mno kufutika halafu sikufikiria kama mama angeondoka mapema namna ile nikiwa secondary, nilihisi naota au kuna utani nafanyiwa au madaktari wamekosea labda baadae mama angeamka... Mimi ni mgumu sana kulia lakini kila picha na sauti yake inijiapo akilini basi huishia kudondosha machozi licha ya utu uzima nilionao kwasasa na miaka mingi kupita lakini bado nina maumivu na majonzi siku zote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Iikuwa asubuhi ya Tarehe 13/04/2017. Nilikuwa kwenye meeting hivyo simu yangu ilikuwa off, saa nne asubuhi tukawa tumemaliza meeting nikawasha simu!

Simu ya kwanza kuipokea ilisema "Kama Umeshapata taarifa niambie wapi tunakutana kwa ajili ya kujiandaa kwa safari" nikauliza, "Unamaanisha Mama amekufa?" Nilishikwa ganzi ya mwili, kwa mara ya pili maishani mwangu nikiwa mtu Mzima, nililia Sana!

Sitakaa nisahau siku Ile! Ingawa alikuwa mgonjwa kwa two weeks Lakini haikuwa rahisi Sana kwangu kukubali!

Ndugu zangu, Leo hii Sina Baba wala Mama! Kama wewe unaesoma uzi huu unao Wazazi wako, basi Wapende Sana! Hakikisha tofauti Kati yenu haipunguzi Upendo!

Leo ni Tarehe ngumu saäana!

Goodbye's (The Saddest Word)

Celine Dion

Mamma
You gave life to me
Turned a baby into a lady

And mamma
All you had to offer
Was the promise of a lifetime of love

Now I know
There is no other
Love like a mother's love for her child

And I know
A love so complete
Someday must leave
Must say goodbye

Goodbye's the saddest word I'll ever hear
Goodbye's the last time I will hold you near
Someday you'll say that word and I will cry
It'll break my heart to hear you say goodbye

Mamma
You gave love to me
Turned a young one into a woman (Man)

And mamma
All I ever needed
Was a guarantee of you loving me

'Cause I know
There is no other
Love like a mother's love for her child

And it hurts so
That something so strong
Someday will be gone, must say goodbye

Goodbye's the saddest word I'll ever hear
Goodbye's the last time I will hold you near
Someday you'll say that word and I will cry
It'll break my heart to hear you say goodbye

But the love you give will always live
You'll always be there every time I fall
You are to me the greatest love of all
You take my weakness and you make me strong
And I will always love you 'till forever comes

And when you need me
I'll be there for you all the way
I'll be there your whole life through
I'll be there this I promise you, mamma

I'll your beacon through the darkest nights
I'll be the wings that guide your broken flight
I'll be your shelter through the raging storm
And I will love you 'till forever comes

Goodbye's the saddest word I'll ever hear
Goodbye's the last time I will hold you near
Someday you'll say that word and I will cry
It'll break my heart to hear you say goodbye

'Till we meet again
Until then
Goodbye

You are strong than what you think...
Pole sana bro..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu pole sana kwa kumpoteza mtu muhimu sana katika maisha, take courage.

Asante kwa kutukumbusha, wazazi ni watu wa kuenziwa na kutunza now that they're old.
 
Pole Sana ndugu yangu, nami siku hio hio, tarehe, mwezi na mwaka nilimpoteza Mzee wangu.

Inauma sanaa tena sanaa haswa mtu alieondoka akiwa Ni nguzo muhimu.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu. I know what you feel. Ni kama ilivyonitokea mimi. Mpaka muda haijawahi tokea hata siku moja sikumuaza mama yangu. Naona kama ndoto. R.I.P mama yangu kipenzi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati naandika uzi huu, nikajikuta napata picha tangu nikiwa mdogo, nikawa mkubwa Kidogo, nikamaliza masomo, nikapata kazi, nikaoa, nikapata Watoto (siku zote kulikua na mtu nyuma yangu aliyeitwa Mama). Haikua nguvu au akili zangu mwenyewe! View attachment 1070177

You are strong than what you think...
Pole sana Mkuu
Mungu azidi kukupa faraja
 
Pole Sana mkuu.
Mimi Yale machungu ya kuondokewa na mama hayajaniisha.
Yaani nikimkumbuka zinanijia picha za kumbukumbu ya yote aliyoyafanya nikiona au tukiwa pamoja.
Nimejikuta natamani arudi tuongee kwa Mara ya mwisho.

Wenye wazazi wako hai wapendeni Sana.
Ndio watu pekee wamewapenda hapa duniani!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom