MANI
Platinum Member
- Feb 22, 2010
- 7,318
- 6,394
Ni kawaida uchungu wa kifo ukishapita mengine unaona ni sawa tu. Nakumbuka Mimi alianza Baba nilipata wakati mgumu Sana akafatia mdogo wangu halafu Mama maumivu ni kama nilishayazoea.Nilidhani hii hali ipo kwangu tu.
Mama alifariki ghafla 23/11/2007 nikiwa nimehitimu chuo.
Nilipigiwa simu saa 3 asubuhi nikiwa Kimara. Nikashuka kwenye daladala. Nilianza safari na kufika home asb siku ya pili mkoani (jina kapuni). Sikutoa chozi hadi nafika mortuary.
Toka kipindi hicho, nikisikia fulani kaondoka duniani sishtuki kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app