In Africa

In Africa

Na mie ningekutia kidoleeee.....

Kidole cha macho atiii....


eeh mpaka unani tia-kidole cha macho niwe nakuangalia tuu!???.....I will make sure i fight back!>..Ila mchanga nakutupia kwa mbali na hunipati....maana umezidi ubishi na wewe eeh ndiyo yale nayosema waafrica tunapenda sana kuongea zaidi ya vitendo...tell what have you done so far kuwa proud kuwa umeleta maendeleo ya kuondokana na umasikini nchini kwako at least?
 
A lot is involved. Kuanzia hali ya hewa . . . . . . . . mpaka akili.

A lot of diseases: Look at the climate of Africa first. The hot, humid climate in much of Africa encourages the spread of insects that destroy livestock and cause various diseases in people.

Africa's climate has made agricultural improvement difficult. In areas with limited and unreliable rainfall, farmers may be uncertain of what crops to plant.

Kumbuka kuwa, hali moja ya hapo juu, example, ya climate, inasababisha umaskini na magonjwa, ambayo yanasababisha kuwa na poor leadership/mafisadi ambayo inaweza kusababisha hiyo civil war ambayo inaongezea umaskini na magonjwa, etc etc etc.

Remember almost all the rest of Africa has one or two seasons of heavy rainfall separated by dry periods. Sasa wananchi wa Africa wanakuwa domant mentally because of having one season mwaka mzima. Wale wenye season nyingi, lets say, Europe, wanalazimika kubadilika na kwenda na wakati kila msimu, hivyo, hali ya kuwa na misimu mingi na tofauti inasaidia kuchangamsha akili na kutafuta njia za kupigana na misimu, which causes development.

Mkuu, that is the way to go. Bravo
 
Back
Top Bottom