Pascal Mayalla Platinum Member Joined Sep 22, 2008 Posts 59,010 Reaction score 132,720 Sep 14, 2010 #1 Wanabodi, Hizi ni ilani za uchaguzi za vyama vitatu vikuu vya siasa hapa nchini, CCM, CHADEMA and CUF. Wataalam wa uchambuzi, naombeni m-compare and contrast. Attachments zinafuata. Attachments Manifestos.zip Manifestos.zip 1.6 MB · Views: 69
Wanabodi, Hizi ni ilani za uchaguzi za vyama vitatu vikuu vya siasa hapa nchini, CCM, CHADEMA and CUF. Wataalam wa uchambuzi, naombeni m-compare and contrast. Attachments zinafuata.
AMARIDONG JF-Expert Member Joined Jun 24, 2010 Posts 2,501 Reaction score 189 Sep 14, 2010 #2 ziko wapi na kama huna wacha niziweke hapa maana naona unahangaika;; wakuu hizi hapa za CHADEMA na Chama Cha Mafisadi kazi kwenu
ziko wapi na kama huna wacha niziweke hapa maana naona unahangaika;; wakuu hizi hapa za CHADEMA na Chama Cha Mafisadi kazi kwenu
Pascal Mayalla Platinum Member Joined Sep 22, 2008 Posts 59,010 Reaction score 132,720 Sep 14, 2010 Thread starter #3 son of peasant said: ziko wapi na kama huna wacha niziweke hapa maana naona unahangaika;; wakuu hizi hapa za CHADEMA na Chama Cha Mafisadi kazi kwenu Click to expand... . son of peasant, asante kunibandika hapa hizo Ilani, ila hukuitendea haki ilani ya CCM kwa kuiita ilani ya chama cha mafisadi. Tunapozungumzia ilani za vyama, ni ilani za vyama.
son of peasant said: ziko wapi na kama huna wacha niziweke hapa maana naona unahangaika;; wakuu hizi hapa za CHADEMA na Chama Cha Mafisadi kazi kwenu Click to expand... . son of peasant, asante kunibandika hapa hizo Ilani, ila hukuitendea haki ilani ya CCM kwa kuiita ilani ya chama cha mafisadi. Tunapozungumzia ilani za vyama, ni ilani za vyama.
Wun JF-Expert Member Joined Jun 16, 2008 Posts 358 Reaction score 72 Sep 14, 2010 #4 son of peasant said: ziko wapi na kama huna wacha niziweke hapa maana naona unahangaika;; wakuu hizi hapa za CHADEMA na Chama Cha Mafisadi kazi kwenu Click to expand... ya CUF ipo wapi nina taka pia kuisoma kama kuna mtu anayo tafadhali niwekee
son of peasant said: ziko wapi na kama huna wacha niziweke hapa maana naona unahangaika;; wakuu hizi hapa za CHADEMA na Chama Cha Mafisadi kazi kwenu Click to expand... ya CUF ipo wapi nina taka pia kuisoma kama kuna mtu anayo tafadhali niwekee
Pascal Mayalla Platinum Member Joined Sep 22, 2008 Posts 59,010 Reaction score 132,720 Sep 14, 2010 Thread starter #5 Fungua ile zip folder utaikuta na ya CUF
Kaa la Moto JF-Expert Member Joined Apr 24, 2008 Posts 7,907 Reaction score 1,081 Sep 15, 2010 #6 Pasco asante sana. Nilitamani kupata soft copies za vyama hivi vya siasa nizisasambue!