Impact ya Slogan ya NO REFORMS NO ELECTION

Impact ya Slogan ya NO REFORMS NO ELECTION

Hii slogan ni sawa na kisu kikali kinachotishia uhai wa washika mpini waliojisahau na kudhani wana haki miliki na Tanganyika..

Mwanzoni walidhani haitawezekana lakini sasa kisu hiki kimeanza kugusa nyama na makali yake yameanza kuwatisha sana hata kabla hakijaufikia mfupa! Au mshipa mkuu wa fahamu

Kuidhibiti slogan ya NO REFORMS NO ELECTION isizidi kuwaharibia haya ndio maazimio mapya
1. Kupiga marufuku mikutano ya hadhara
2. Kuwakamata viongozi wakuu na kuwafungulia kesi ghushi zisizo na dhamana
3. Kupiga marufuku BAN kutamka NO REFORMS NO ELECTION...
Yaani ni kosa la jinai sasa kutamka, kuandika ama kutaja kwa namna yoyote ile hayo maneno
It has never been easy! Hizi marufuku ni za muda tuu.. Zitafeli vibaya sana ...Mafuriko kamwe hayazuiwi kwa mikono
View attachment 3300709View attachment 3300710
African politicians all study from the same school....... whenever they fail to reason with their competitors ,violence come automatic!!!

#Free Lissu
NENR
 
Hii slogan ni sawa na kisu kikali kinachotishia uhai wa washika mpini waliojisahau na kudhani wana haki miliki na Tanganyika..

Mwanzoni walidhani haitawezekana lakini sasa kisu hiki kimeanza kugusa nyama na makali yake yameanza kuwatisha sana hata kabla hakijaufikia mfupa! Au mshipa mkuu wa fahamu

Kuidhibiti slogan ya NO REFORMS NO ELECTION isizidi kuwaharibia haya ndio maazimio mapya
1. Kupiga marufuku mikutano ya hadhara
2. Kuwakamata viongozi wakuu na kuwafungulia kesi ghushi zisizo na dhamana
3. Kupiga marufuku BAN kutamka NO REFORMS NO ELECTION...
Yaani ni kosa la jinai sasa kutamka, kuandika ama kutaja kwa namna yoyote ile hayo maneno
It has never been easy! Hizi marufuku ni za muda tuu.. Zitafeli vibaya sana ...Mafuriko kamwe hayazuiwi kwa mikono
View attachment 3300709View attachment 3300710
Tutasemea mitaani,maana ratio ya wafuasi wa vyombo vya dola na sisi raia ni almost negligible.
Kila mtu atasema na jirani yake maana mpaka sasa tumeishaelewa,tunaendeleza tu mitaani kwetu.
 
African politicians all study from the same school....... whenever they fail to reason with their competitors ,violence come automatic!!!

#Free Lissu
NENR
Appostle kuna muujiza huku.

Nini kimetokea?

Baada ya maombi ametapika misumari
😅
 
Sababu nyingine ya kutaka reform ya tume iliyojaza makada wa kijani wanaoteuliwa na mwenyekiti wa chama cha kijani.
images - 2025-04-11T213243.806.jpeg
 
Wakuu, bila ya kujali Vyama Dini na itikadi zetu tukemee Udhalimu huu unaofanywa na Chama cha Mapinduzi na Vyombo vyake vya Dola vinavyitumika vibaya
 
Back
Top Bottom