IMF Staff Holds Review Mission to Tanzania and gives its recommendation

Hawa IMF wanafiki Jana Waziri jenister muhagama kamjibu Mbowe swali hili na kumtolea mifano ya jinsi serikali hii ilivyo tajiri mpaka wamenunua ndege mbili cash money, sasa hawa wazungu wanaongea nini?, tafadhali sana tunaomba IMF wasitu drive drive
Jenister? anaweza kujibu swali la hali ya uchumi kweli? soma cv yake.
 
Vijana wa BAVICHA uelewa wao ni mdogo sana. Wanaaibisha taifa letu.
Kwanza kingereza kilichoandikwa ni kirahisi sana na kinaeleweka hata kwa mtoto wa darasa la saba.

Kwa ujumla IMF wameisifu TZ na kwamba inakopesheka.
 
Wanajua negotiation...waelewa wanafahamu kuwa tukijikwamua kutoka external dependence tunaelekea kwenye uhuru kamili sasa hiyo siyo habari nzuri kwa mabwana...In general indicator zote walizotupatia zinaeleza uchumi kuimarika...
Kula like nyiiiiingi kwa upembuzi yakinifu!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
The mission commended the authorities’ efforts to improve the efficiency of spending and noted that it should not compromise the delivery of essential services. It also recommended continued steps to ease liquidity conditions in the economy.

Hapa sijui panaeleweka vema? Maana maoni yote yamekusanywa hapa.
 
Hapa sijui panaeleweka vema? Maana maoni yote yamekusanywa hapa.
Ndugu wenzetu kingereza hawakijui. Hata ukimuuliza wameongelea nini wala hajui yeye neno aliloelewa pale ni commended basi akafanya conclusion.
 
IMF na weld benk siyo wakuwaamini kamwe hawapendi thed weld countries kuendelea kiuchumi ndio hao hao wanatunyonya mali asili zetu na kwa maksud wame under develop africa.

pia kwa upande mwengine Magu anabidi abadilishe strategies hata kupokea ushauri kutoka upinzan. Hali ya kiuchumi bado ni tete
Inferiority complexity tu hii. Bretton Woods Institutions zipo tangu miaka 1940s. Katika kipindi hiko kuna nchi nyingi tu zimeendelea na wao wamehusika kuzisaidia. Sisi kutoendelea kwetu ni matatizo yetu wenyewe. Tumekubali kuigawa nchi katika vipande unnecessary. Hivi kuna sababu gani kwa mtu mwenye akili kutowashirikisha wenye constructive criticisms na tawala zinazokuwa madarakani? Why always rigged elections? Why we make decisions which will make other citizens to be less patriotic to their country?
 
Yaani ukope ili wakuwekee masharti au? And then if we do not spend yet wanakiri tumekusanya pesa nyingi hiyo luga wewe umeielewa au? Its their negotiation style...tutakopa tutakapo hitaji so far tunataka kutengeneza independency kwenye uchumi wetu na kujinasua kwenye strings zao...wamechungulia wakaona mfungwa mmoja anakaribia kufungua milango ya magereza...

Duh! Washauri wa magu kiboko. Nchi hii inakaribia kujitegemea? Kwa indicators zipi? Au ndio ramli zenyewe hizi?
 
ukisoma vizuri hiyo ripoti ndipo utajua kwanini mtaani watu wanalalamika maisha magumu,serikali isipospend akadeal tu katika kukusanya revenue lazima mzunguko wa pesa upungue ndo kitu kinachotokea kwa sasa,the only solution ni kwa serikali kuanza kuspend pesa wanazokusanya tu.
Wata spend tu bila mpangilio? Wametoa strategic direction ya maendeleo so the wisdom is to align your projects to that direction ili kuweze kuwapo na transaction zinazoendana na development target ya nchi
 
Nilivyoielewa hiyo statement hapo juu, IMF wamecaution kuhusu hii "Tight monetary policy" inayotumika sasa hivi. In the long run inaweza kuleta shida. Kuna mahitaji ambayo ni necessary yanaweza kukosekana. Wamecaution tu. Infact naona kama wamesifu vitu vingi vingi tu.
Hongera mkuu. Ni watanzania wachache wanaoweza kusoma na kuelewa article kama hii. Wengi wameona hicho kiingereza wakabuni ni maelezo ya kuikandia vibaya sana serikali ya Magufuli.
 
au mimi ndo sijui hii lugha ya malkia...maana nimesoma hapo juu naona jamaa wamesifia mambo mengi na kutoa tu angalizo kwenye baadhi ya vitu...sasa hiyo hari tete i wapi wandugu?
Mkuu nakuhakikishia lugha ya malkia unaijua kabisa na ondoa hofu! Hao wa ''hari tete'' ndio wana hali tete kabisa kwenye lugha kwani kiingereza hakipandi na pia kiswahili!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Hongera mkuu. Ni watanzania wachache wanaoweza kusoma na kuelewa article kama hii. Wengi wameona hicho kiingereza wakabuni ni maelezo ya kuikandia vibaya sana serikali ya Magufuli.

Bahati mbaya hata wale wanaojisifu kiingereza wanakifahamu kuliko Malkia wa uingereza wanasoma speling tu na kuhangaika nazo, context zero! Kwa luga ya Magu...
 
Jpm hawapigii magoti ndiyo maana wanachonganisha watanzania. We don't care them about. They have sucked us enough.
 
Let them die out. Why don't they talk about Western countries'economic depression?
 
Hiyo policy inafahamika, hapa huenda ni structural reforms kuliko monetary control. Hii ina maana ni control of government expenditure through efficiency use of government resources rather than monetary control. The government performances on important sectors cast shadow on whether we have sufficient resources to cater our needs. Ukitazama ile budget ya trillion 29 uwezekano wa kupata pesa ile ni negligible.

Mkuu hii ni monetary policy. Kuna aina mbili za monetary policies ambazo serekali inaweza kutumia kurekebisha hali ya uchumi katika nchi. Kama pesa nyingi zimo mikononi mwa watu, serikali inabana matumizi (yaani inazuia au kubana sanareduction of government expenditure ) ili iweze kuzichukua hizo fedha kutoka kwa wananchi. Hii inaitwa contractionary monetary policy. Na hiki ndicho kinachotokea Tanzania. Kama fedha ni chache basi serikali itatumia fedha (yaani increase in Government expenditure) hii inaitwa expansionery monetary policy. Structral reforms mbona zilishaisha kwenye late 1980's na matokeo ya hizo reforms ndiyo uuzwaaji wa viwanda vyetu vyote.
 
Back
Top Bottom