IMF Report on Tanzania: Hiki ndicho ambacho watanzania hawakupaswa kujua

Wewe naona umeisoma report, siyo hawa wengine wanakurupuka hata kusoma hawajasoma. Nimeisoma taarifa nukta kwa nukta, mambo siyo mabaya kama ambavyo baadhi ya watu wanaamini. Kuna mapungufu ambayo kwenye taarifa kama hizi huwa yanaonyeshwa na pia kuna mapendekezo ambayo yakifanyiwa kazi kuna hatua kubwa itapigwa. Nimeona kwenye taarifa serikali imekubali kuyafanyia kazi na mengine imeanza kuyafanyia kazi.
Nani ayafanyie kazi? hao hao wanaoshindwa kukusanya kodi, kushauri uwepo wa vipaumbele vya miradi na matokeo yake kwenye uchumi, hata kutunza takwimu hawawezi,.."imeanza kuyafanyia kazi" sentesi za kitoto kama hizi wakati mwingine zinaashiria akili ya anayeandika imedumaa!
Wizara ya fedha na hasa waziri wake hajaanza leo kuambiwa kuwa mwelekeo wa uchumi si mzuri, kila mwaka wabunge wanamwambia habari hii..mambo ya kujifunza kama kweli sisi sote tunataka uchumi wa nchi uimarike, turekebishe kasoro kwa kudeal na source, waziri Mpango hastahili kuendelea kuwa hapo, lakini nadhani ni muda sasa tuanze kujiuliza wanaowapata kina Mpango wanauwezo na hiyo kazi??? vetting za kutafuta wataalam kusaidia nchi yetu zina kasoro kubwa, hata kabla ya kum-replace Mpango, wao kwanza wawe replaced..vetting za mazoea hazitatupeleka popote kama nchi..toka awe waziri wa fedha kitu gani cha tofauti kizuri kwa nchi amefanya?? hao waliomtatfuta walijiridhisha na nini kumpa hiyo nafasi. Turekebishe kwanza mfumo na wanaofanya vetting kupata wataalamu kabla ya kupeleka majina kwa mteuzi, tutakuwa tumetatua 70% ya tatizo. Kwa hiyo tatizo si IMF pengine wala Mpango au Kichele, TATIZO ni WASAIDIZI WA MTEUZI KUPATA WATU WASIOFAA!!!
 
Mi nimeipitia naona sio mbaya kiivyo ,wanasema deni limeongezeka ila bado linabebeka na vumilivu,naukuaji wa sector mbali mbali ikiwemo madini umeimarika ,hata sekta ya nyumba imetoka 3.5 hadi 5 % ya ukuaji ,ukweli sijaona kitu cha kuzuia report hii ,labda naona kwenye kukisia kwao hali ya uchumi rejea ukurasa wa mwisho wenye selected indicators (viashiria vya uchumi ) wanatabiri uchumi wetu hautakuwa kwa kasi kubwa na kiujumla wanaona expoets zitazidi kupungua lakini kitaalamu inaitwa we will be increasing at a decreasing rate .
 
Mkuu zitto tunaomba utoe interpretation juu ya hii report ili na jiwe na yeye aelewe tofauti na hapo wapiga zumari wake watamlisha matango pori.
Niliposoma post yako na kuangalia chini jinsi ulivyo pata likes (thanks) za kumwaga nikajikuta naangua kicheko kikubwa. Hata mie sijajua kwa nini nimecheka namna hiyo. Naomba mwenye kujua kwa nini nimecheka anisaidie kuniambia nimecheka nini!
 
Aisee safi Zitto kuna kipengele nimeona ukusanyaji wa kodi uliovuka malengo umeharibu mazingira mazuri ya biashara kweli jamaa wapo vizuri...ma Dr wetu kutwa kujisifia kuvuka malengo bila kujua athari zake..
 
Wakuu,

Nimeambatanisha ripoti nzima hapa.

Nitaweka uchambuzi wangu kwa kina.
Wewe ni mpotoshaji huna lolote,mpigaji kama wengine,muowaji wa wake za marehemu,mchawi kuliko wote na samu ya A.c*ifu* inakusimamia mpaka mwisho.
 
Majina mengine yanaashiria mambo mengi. ZITTO- mzito, mwenye nafasi,aliyejaa, aliyekubalika, msikilizwa, shujaa, dhahabu, Tetemeko, kubwa, isiyopimika.
 
Akili ya ACT - Wazalendo ni kubwa sana. Kuipima haiwezekani, upana wake usiopimika na urefu wake haupimiki vile vile. Ni kuikubali tu
 
Wengi wanasioma ripoti hiyo in isolation wakiwa na confirmation bias. Ukiisoma in totality with open mind, utaona kuwa ni ya kawaida sana kwa uchumi wa nchi nyingi za Sahara; hakuna sudden change yoyote. In fact kuna indicators nyingine ambapo Tanzania inafanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Afrika ya Mashariki. Ni kama ambavyo Trump anasema policy zake zimekuza uchumi wa USA wakati ukiangalia graph zote za kukua kwa uchumi zinafuata trend ile ile iliyoachwa na Obama.
 
Wengi wanasioma ripoti hiyo in isolotion wakiwa na confirmation bias. Ukiisoma in totality with open mind, utaona kuwa ni ya kawaida sana kwa uchumi wa nchi nyingi za Sahara; hakuna sudden change yoyote. In fact kuna indicators nyingine ambapo Tanzania inafanya vizuri zaidi kuliko nchi zote za Afrika ya Mashariki. Ni kama ambavyo Trump anasema policy zake zimekuza uchumi wa USA wakati ukiangalia graph zote za kukua kwa uchumi zinafuata trend ile ile iliyoachwa na Obama.
Bora mseme nyie wenye JF yenu toka enzi hizo labda kuna watu watawaheshimu. Mambo mengine yanakuzwa mno! Nilikuwa nasubiri hizo analysis alafu nione kipi kipya!
 
Niliposoma post yako na kuangalia chini jinsi ulivyo pata likes (thanks) za kumwaga nikajikuta naangua kicheko kikubwa. Hata mie sijajua kwa nini nimecheka namna hiyo. Naomba mwenye kujua kwa nini nimecheka anisaidie kuniambia nimecheka nini!
Kwamba "nyumbu" wengi vichwani hasa lugha kwao ni shida....bendera fuata upepo!
 
Asante Mh kwa kutuwekea hii report vijana tuidadavue.

Nawaza tu sijui niandike uchambuzi kidogo from my financial perspective mana finance ndio profession yangu ama sijui ntatiwa hatiani kwa kujadili ripoti iliyokataliwa.

Wengine hatuna financial strength za kupambana tukishtakiwa. Nipeni muongozo wadau.
 
Back
Top Bottom