Imevuja: Audio mpya Diamond akililia penzi la Wema

Imevuja: Audio mpya Diamond akililia penzi la Wema

Hutoamini leo JUVENTUS anashinda!

Chiellini yupo nje. Mmebakisha makapi tuu ndani. Barca lazima abebe treble. Bahati mbaya ronaldo hataangalia hii gemu ana mauchungu ya kumegewa na kibabu blatter
 
"Niache nilie kinachoniuma ni mazoea eeh , nilie siwezi kubisha nimekuzoea eeh"

Bonge la ujumbe KITAKO NYOKA a.k.a NDOMO katika ubora wakeeee
 
Chiellini yupo nje. Mmebakisha makapi tuu ndani. Barca lazima abebe treble. Bahati mbaya ronaldo hataangalia hii gemu ana mauchungu ya kumegewa na kibabu blatter

Ahaha we nakwambia hutoamini macho yako leo,ule utatu wenu mtakatifu leo tumeshauzika na Yasin tatu!POGBA Ndani
 

Attachments

  • 1433613501330.jpg
    1433613501330.jpg
    11.3 KB · Views: 415
Diamond akiimba kitu kingine mbali na mapenzi atashuka kimziki,sauti yake inafaa kulalamika tu,huwezi kuleta sauti ya kulalamika kuimba mambo mengine,si unaona ule wimbo aliorap ulipotea ndani ya week
 
Diamond akiimba kitu kingine mbali na mapenzi atashuka kimziki,sauti yake inafaa kulalamika tu,huwezi kuleta sauti ya kulalamika kuimba mambo mengine,si unaona ule wimbo aliorap ulipotea ndani ya week

mkuu umesahau ule wimbo wa BINADAMU WABAYA,
 
+Mkuu Danny greeny asante kwa kawimbo aisee ni katamu.

+tuwimbo twa Dai ni tutamu, kama tumaini twa mbuzi.
 
Last edited by a moderator:
Huo mbona sijasikia is like ni verse ndanu ya "ukimwona"
Ulihit?

Ulihit ila sio sana kwasababu haukua na video,

Ni wewe pekee ndiye unajua wangapi binadamu wabayaa!!
Ndugu rafiki nani anaroho safi nani ana roho mbayaa!!×2
mola nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawaa!!

Nilipoanza mzikii,tabu na dhikii,nilikutana na matatizo sanaa!!
Sikuwa rafiki,sithaminiki bado kidogo tu mi nikate tamaa!!
Wangu moyo,ulivumilia dharau na masimango iiiii!!
Mi wangu moooyo,ulivumilia dharau na manyanyaso diiii!!
Ile nahangaika usiku kuchwa naambulia patupu nilikuwa naumia!
Moyoni najipa moyo keaho nitakuwa maarufu mwisho wa siku nafuliaaa!×2
inaendelea........
 
Ulihit ila sio sana kwasababu haukua na video,

Ni wewe pekee ndiye unajua wangapi binadamu wabayaa!!
Ndugu rafiki nani anaroho safi nani ana roho mbayaa!!×2
mola nilinde niwe na upendo wa dhati wote niishi nao sawaa!!

Nilipoanza mzikii,tabu na dhikii,nilikutana na matatizo sanaa!!
Sikuwa rafiki,sithaminiki bado kidogo tu mi nikate tamaa!!
Wangu moyo,ulivumilia dharau na masimango iiiii!!
Mi wangu moooyo,ulivumilia dharau na manyanyaso diiii!!
Ile nahangaika usiku kuchwa naambulia patupu nilikuwa naumia!
Moyoni najipa moyo keaho nitakuwa maarufu mwisho wa siku nafuliaaa!×2
inaendelea........

Nyimbo zake za kulalamika ndo zinamfanya akae juu,imagine aimbe nyimbo zenye ujumbe tofauti
 
Back
Top Bottom