juvenile davis
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 4,752
- 4,475
Sasa unamfananisha huyo na mkuu wa mkoa? Unadhalilisha chamaMbona mond kamwita mwenzake ommy Nyembo gasho na anazidi kukamua shows za nguvu na mipesa mingi mingi na hajapekekwa popote!
Sasa unamfananisha huyo na mkuu wa mkoa? Unadhalilisha chamaMbona mond kamwita mwenzake ommy Nyembo gasho na anazidi kukamua shows za nguvu na mipesa mingi mingi na hajapekekwa popote!
Mimi ni chadema.ila Lema hapana aisee.huwezi kumwita mwenzako shoga.acha kwanza ashike adabu kidogo.yaani ingekuwa kila mtu anatangaza alichokiota basi nchi ingekuwa ya ajabu.
Kama ana hiyo sifa sioni kama ni tatizo,halafu kwa nini wao wakitukana hayaonekani kama ni matusi?Alimuita mkuu wa mkoa Mrisho Gambo shoga,je ni haki hiyo
Lowassa ameshawahi kwenda kumjulia hali mjumbe mwenzake wa kamati kuu?Hilo hawalioni mkuu.
Ndoto yake inaweza kuumuza sana kwenye kampeni ijayo/zijazo iwapo.......