- UKWELI NI KWAMBA HATA MWANANCHI ASIYEKUWA MFUATILIAJI WA MAMBO YA SIASA ANAANZA KUJIULIZA MASWALI HAYA:
1. Hivi huyu Godbless Lema ni mtu gani?
2. Hivi ananguvu kumshinda Rais?
3. Hivi huyo Lema sio mtanzania?
4. Hivi siku akiachiwa gerezani nchi siitayumba?
HATARI YA MASWALI HAYO HII HAPA:
Siku mwananchi huyu akasikia tangazo Kwamba Godbless Lema atapanda jukwaani kuongea na wananchi. Ni wazi mwananchi huyu atatamani sana kwenda kumuona Lema,Mbaya zaidi ni pale mwananchi huyu atakaporogwa kumsikiliza Godbless Lema,sumu hiyo lazima ataipeleka kwa familia yake pia atawaelezea majirani zake kuhusu Lema nao watatamani kumuona na Kumsikiliza Lema.
You make people popular by detaining and holding them in prison. I'm afraid you'll never stand against them in the future because the Mass will be very desperate to see and hear from them.
Unawapa watu umaarufu unapowashikilia au kuwaweka gerezani. Wasiwasi wangu siku zijazo hutawamudu kwasababu Umma utakuwa na hamu kubwa kuwaona na kuwasikiliza.