Imetosha imetosha! Saa ya ukombozi inakaribia

Imetosha imetosha! Saa ya ukombozi inakaribia

..kwa hiyo wanasubiri maalim aende mahakamani?

..mbona "wanapotukanwa" wana ccm watuhumiwa hukamatwa mara moja?
Hakuna jambo kama hilo,hata kipindi hicho Mbowe anamtukana kikwete kwa kusema ni dhaifu,hajawahi kukamatwa.na hata kipindi hicho Lema anamtukana lowasa kwamba ni fisadi hajawahi kukamatwa.nadhani zama zimebadilika,kwa hiyo Lema aache tu kuropoka
 
.....Umeongea dhati iliyo dhahiri mkuu, Sijaona bias katika bandiko lako hili nathubutu kusema hii ni miongoni mwa post bora za mwaka 2016 hongera mleta mada!
Asante sanaa mkuu!! Katika maisha ili fikra zako ziishi ni bora uwe mkweli kuliko kuandika blaa blaa!!!
 
Ipi isiyo kweli na nimeilazimisha iwe kweli bila unafiki sema tuuh
1.Tuonyeshe ubaya wa Lowasa hapa! 2. Tueleze Lowassa na Sumaye walipataje nafasi za ujumbe? 3. Kama viongozi je, watu hao hawapaswi kupokelewa na viongozi na wanachama huko wanakoenda kwa shughuli za chama? 4. Ni kweli Lema yuko mahabusu Kisongo, lakini ulitaka chama kisimamishe shughuli zake nacho kihamie mahabusu ya Kisongo? 5.Kwanini unahangaika na chama ambacho mara kadhaa umekuwa ukiandika kuwa ni hovyo na hakifai?
 
Siyo kila asemaye ukweli basi anasubiria ujira la asha! Ni mawazo yake lazima yaheshimiwe

Naamini ipo siku mawazo yangu yataheshimiwa
mi napenda kukufahamu kaka huwenda nikjifunza mambo mengi
 
1.Tuonyeshe ubaya wa Lowasa hapa! 2. Tueleze Lowassa na Sumaye walipataje nafasi za ujumbe? 3. Kama viongozi je, watu hao hawapaswi kupokelewa na viongozi na wanachama huko wanakoenda kwa shughuli za chama? 4. Ni kweli Lema yuko mahabusu Kisongo, lakini ulitaka chama kisimamishe shughuli zake nacho kihamie mahabusu ya Kisongo? 5.Kwanini unahangaika na chama ambacho mara kadhaa umekuwa ukiandika kuwa ni hovyo na hakifai?
Kwahyo kwa akili yako kumpokea tuuh lowasa na genge lake 2015 wewe unaibariki kuwa mchakato ulikuwa ni halali, na ata baada ya hapo inabidi apewe cheo kikubwa kiasi hicho ndani ya chama wewe unaona ni halali wakati kuna watu wameisotea hiki chama hawajapewa ata ubunge viti maalum!!!

Mimi ninachopinga ni heshima kubwa anayipewa kana kwamba yeye ni Musa au Samsoni wakati kuna watu wamekipigania hiki chama tokea enzi na enzi lakini wanapewa heshima ya kawaida tuuh. Mkuu ungejua harakati za lowasa kukwamisha juhudi za upinzani enzi akiwa chama tawala ngojea nukukumbushe haya;

1:Kuongoza kundi la ushushu linalomwagia tindikali KUBENEA

2:Kuongoza kundi la ushushu linalomvamia na kumjeruhi J. NASARI vibaya kuelekea uchaguzi wa Arumeru

3:Kuratibu kundi kukataa katiba pendekezwa la Jaji warioba

4:Kuratibu kundi La ushushu lililokuwa inamwinda G. Lema enzi hizo hasa kipindi cha uchaguzi wa Arumeru.

Hizo ni baadhi tuuh mkuu!! Wakina mnyika wanajua kila kitu ndo maana wapo kimya sasa wewe sijui ndo kiherehere au siasa hamuijui vizuri ndo maana mpo kufa kwa ajili ya mtu ambaye hana msaada kamili. Kwanini huyo Lowasa wako hakufanya campaign jimboni Kibamba tuanzie hapo! Kwa mnyika??
 
Mimi ni chadema.ila Lema hapana aisee.huwezi kumwita mwenzako shoga.acha kwanza ashike adabu kidogo.yaani ingekuwa kila mtu anatangaza alichokiota basi nchi ingekuwa ya ajabu.
Mbona mond kamwita mwenzake ommy Nyembo gasho na anazidi kukamua shows za nguvu na mipesa mingi mingi na hajapekekwa popote!
 
Ardhi yenye nuksi ndoipi mbona watu wanakosa adabu! Thread zinazoichafua nchi na zisizo na uzalendo zifutiliwe mbali mapema iwezekanavyo
 
Ukweli usikutese hivo mkuu!!

Jihadharini na watu wanaotafuta uongozi kwa njia za kuabudiwa na kuhududiwa!! Hawa watu ni hatari sanaaa

Ipo siku ukweli utageuka kuwa lulu
Weka na valid reference tafadhali
 
Kaa chini ufikirie kabla kuandika na kupost ameniacha uchi kwa lipi labda! Mimi si mfuasi wa kundi lolote ndio maana kama ni kushambulia kwa facts ni kotekote sasa wewe unajiona bingwa kuwa umeandika la maana!
Huwezi kuvaa jezi mbili tofauti kwenye mechi moja!
Kuwa na timu moja ueleweke u pande IPI!
Unanikumbusha ule mchezo wa REDE kulikuwa na mtembea popote
Lakini kwa sharti moja tuu asipendelee upande wowote. Lakini wewe unajigamba kuwa mtembe popote Mwenye jezi ya timu moja

Jiweke upande ijulikane rangi yako halisi na huo ndo MSIMAMO DHABITI TUUTAKAO
 
Mimi ni chadema.ila Lema hapana aisee.huwezi kumwita mwenzako shoga.acha kwanza ashike adabu kidogo.yaani ingekuwa kila mtu anatangaza alichokiota basi nchi ingekuwa ya ajabu.
Samahani mkuu hivi alimuita nani shoga?
 
Kwahyo kwa akili yako kumpokea tuuh lowasa na genge lake 2015 wewe unaibariki kuwa mchakato ulikuwa ni halali, na ata baada ya hapo inabidi apewe cheo kikubwa kiasi hicho ndani ya chama wewe unaona ni halali wakati kuna watu wameisotea hiki chama hawajapewa ata ubunge viti maalum!!!

Mimi ninachopinga ni heshima kubwa anayipewa kana kwamba yeye ni Musa au Samsoni wakati kuna watu wamekipigania hiki chama tokea enzi na enzi lakini wanapewa heshima ya kawaida tuuh. Mkuu ungejua harakati za lowasa kukwamisha juhudi za upinzani enzi akiwa chama tawala ngojea nukukumbushe haya;

1:Kuongoza kundi la ushushu linalomwagia tindikali KUBENEA

2:Kuongoza kundi la ushushu linalomvamia na kumjeruhi J. NASARI vibaya kuelekea uchaguzi wa Arumeru

3:Kuratibu kundi kukataa katiba pendekezwa la Jaji warioba

4:Kuratibu kundi La ushushu lililokuwa inamwinda G. Lema enzi hizo hasa kipindi cha uchaguzi wa Arumeru.

Hizo ni baadhi tuuh mkuu!! Wakina mnyika wanajua kila kitu ndo maana wapo kimya sasa wewe sijui ndo kiherehere au siasa hamuijui vizuri ndo maana mpo kufa kwa ajili ya mtu ambaye hana msaada kamili. Kwanini huyo Lowasa wako hakufanya campaign jimboni Kibamba tuanzie hapo! Kwa mnyika??
Heshima ya mtu haitafutwi Bali huja yenyewe tuu kutokana na life style ya mtu. Huwezi zuia heshima ya lowassa kwa point ndogo namna hii. Inawezekana hata asingekuwa chadema angekuwa na heshima vilevile
 
Aliyeweka threads zako za Nyumba ,kakuumbua kweli.kumbe wewe ni mnafiki.pole sana
 
Kwahyo kwa akili yako kumpokea tuuh lowasa na genge lake 2015 wewe unaibariki kuwa mchakato ulikuwa ni halali, na ata baada ya hapo inabidi apewe cheo kikubwa kiasi hicho ndani ya chama wewe unaona ni halali wakati kuna watu wameisotea hiki chama hawajapewa ata ubunge viti maalum!!!

Mimi ninachopinga ni heshima kubwa anayipewa kana kwamba yeye ni Musa au Samsoni wakati kuna watu wamekipigania hiki chama tokea enzi na enzi lakini wanapewa heshima ya kawaida tuuh. Mkuu ungejua harakati za lowasa kukwamisha juhudi za upinzani enzi akiwa chama tawala ngojea nukukumbushe haya;

1:Kuongoza kundi la ushushu linalomwagia tindikali KUBENEA

2:Kuongoza kundi la ushushu linalomvamia na kumjeruhi J. NASARI vibaya kuelekea uchaguzi wa Arumeru

3:Kuratibu kundi kukataa katiba pendekezwa la Jaji warioba

4:Kuratibu kundi La ushushu lililokuwa inamwinda G. Lema enzi hizo hasa kipindi cha uchaguzi wa Arumeru.

Hizo ni baadhi tuuh mkuu!! Wakina mnyika wanajua kila kitu ndo maana wapo kimya sasa wewe sijui ndo kiherehere au siasa hamuijui vizuri ndo maana mpo kufa kwa ajili ya mtu ambaye hana msaada kamili. Kwanini huyo Lowasa wako hakufanya campaign jimboni Kibamba tuanzie hapo! Kwa mnyika??
Uko very low! 1. Hayo ya kumwagia tindikali Kubenea na kumjeruhi Nasari ngoja tuliachie jeshi la polisi litamshughulikia Lowasa baada ya wewe kupeleka ushahidi. Na kama ni raia mwema wa nchi hii hebu peleka ushahidi wako polisi. 2. Suala la Katiba ya Warioba unawafahamu ambao hadi walimpiga ngumi mzee Warioba wakiipinga hiyo katiba yake lakini chama chako kiliwapa vyeo, sasa tuonyeshe, kwa uwazi ushiriki wa Lowasa katika kuratibu hilo unaloliita kundi la kukataa Katiba ya Warioba, na usije na hoja za kilevi tu hapa!
Kuhusu Lowasa kutofanya kampeni Kibamba, wewe ulikuwa miongoni mwa wapangaji wa ushiriki wa viongozi na watu maarufu ndani ya Chadema katika kampeni hizo hadi ufikie hitimisho hilo? Mbona husemi kuhusu majimbo mengine ambayo hakwenda pia? Hoja hii nayo ni ya kilevi!
 
Uko very low! 1. Hayo ya kumwagia tindikali Kubenea na kumjeruhi Nasari ngoja tuliachie jeshi la polisi litamshughulikia Lowasa baada ya wewe kupeleka ushahidi. Na kama ni raia mwema wa nchi hii hebu peleka ushahidi wako polisi. 2. Suala la Katiba ya Warioba unawafahamu ambao hadi walimpiga ngumi mzee Warioba wakiipinga hiyo katiba yake lakini chama chako kiliwapa vyeo, sasa tuonyeshe, kwa uwazi ushiriki wa Lowasa katika kuratibu hilo unaloliita kundi la kukataa Katiba ya Warioba, na usije na hoja za kilevi tu hapa!
Kuhusu Lowasa kutofanya kampeni Kibamba, wewe ulikuwa miongoni mwa wapangaji wa ushiriki wa viongozi na watu maarufu ndani ya Chadema katika kampeni hizo hadi ufikie hitimisho hilo? Mbona husemi kuhusu majimbo mengine ambayo hakwenda pia? Hoja hii nayo ni ya kilevi!
Hujui chochote mkuu kaa utulie!!!
 
Heshima ya mtu haitafutwi Bali huja yenyewe tuu kutokana na life style ya mtu. Huwezi zuia heshima ya lowassa kwa point ndogo namna hii. Inawezekana hata asingekuwa chadema angekuwa na heshima vilevile
Kwakuwa ni Afrika tuuh ndo mtu ambaye anastaili kuishi segerea anaabudiwa kama mtume wa yesu kristo haina haja ya kubishana na watu wenye tabia ya nyani kama wewe!!!
 
Kwakuwa ni Afrika tuuh ndo mtu ambaye anastaili kuishi segerea anaabudiwa kama mtume wa yesu kristo haina haja ya kubishana na watu wenye tabia ya nyani kama wewe!!!
Kutukana wachangiaji haiwezi kukusaidia, ambacho kinaweza kukusaidia ni kutuonyesha, with no reasonable doubt, kwanini wanaomheshimu Lowasa wanastahili kuitwa nyani, na sio wewe ambaye unastahili jina hilo kwa kuwa unatukana watu bila kuwaonyesha makosa yao!
 
Back
Top Bottom