Imetosha imetosha! Saa ya ukombozi inakaribia

Waswahili wanakumabia CHARITY START/BEGINS AT HOME......hili uliloandika hapa lingekuwa na maana iwapo na kama TUNGEONA HAMSHA HAMSHA ZA ARUSHA MJINI KUPINGA KUONEWA KWA LEMA....lakini mpaka sasa ni nziiiiiiiii hii inamaana ya kwamba WANA ARUSHA MJINI wameisha muona HUYU KIJANA hana makuzi na hastaili kuwa kiongozi wao.....Naamini na walio wengi wanaamini LEMA ndiye anaeleta picha mbaya ya MKOA wa ARUSHA kuonekana ni mkoa wa VURUGU maana kama angekuwepo mtaani mpaka sasa LAZIMA tu ARUSHA mabomu yangeishakuwa yamerindima LAKINI SASA HIVI ARUSHA NI SHWARI BALAA na watu wanaendelea na shughuli zao za kujipatia kipato AS IF NOTHING HAS HAPPENED.......
 
Maisha yenyewe yanatupelekesha KASI na hii hapa kazi tu. Tutapatia wapi Muda WA kujadili siasa. Wananchi wengi wana fuatilia mambo YOTE haya smart zinasaidia na ndicho kinachoweza kuleta mabadiliko
 
Mimi ni chadema.ila Lema hapana aisee.huwezi kumwita mwenzako shoga.acha kwanza ashike adabu kidogo.yaani ingekuwa kila mtu anatangaza alichokiota basi nchi ingekuwa ya ajabu.

..kuna mwana ccm ameporomosha matusi mazito mazito dhidi ya Maalim Seif Sharrif.

..sasa tunasubiri kuona kama na yeye atatupwa rumande na kunyimwa dhamana kama Godbless Lema.
 
kha, wakati hata maendeleo ya kesi yake watu hawajui! kashasahaulika tyr, very soon atapotea kbs ktk medan za siasa! mfikishie ujumbe huo ukienda mtembelea, kama unakwendaga kweli
 
Mlivyokuwa mnaimba wacha waisome nambaeeee....
Mlitegemea upinzani ndio watakaoisoma?
Mwishowe tunaona namba mnaisoma wenyewe mpaka mmefika mahali leo ETI na nyie mnajiita wana mabadiliko???
Duuu, kama filamu vile.
 
Mlivyokuwa mnaimba wacha waisome nambaeeee....
Mlitegemea upinzani ndio watakaoisoma?
Mwishowe tunaona namba mnaisoma wenyewe mpaka mmefika mahali leo ETI na nyie mnajiita wana mabadiliko???
Duuu, kama filamu vile.
Mkuu kwanza naomba uweke ushaidi kama mimi niliimba ukifanikiwa najitoa rasmi JF! Katika maisha yangu kitu ambacho nakipinga na kumhusudu kumlaki na kumtukuza mtu hivyo kumuimbia mtu mimi kwangu mwiko ila kwa ukweli umeguka kuwa sindano za ganzi tulieni hivohivo muache blaa blaa!!!

Mtu mkubwa huoni aibu kumhusudu na kumtukuza binadamu kama wewe khaaa!!
 
..kuna mwana ccm ameporomosha matusi mazito mazito dhidi ya Maalim Seif Sharrif.

..sasa tunasubiri kuona kama na yeye atatupwa rumande na kunyimwa dhamana kama Godbless Lema.
Maalimu seif akienda mahakamani lazima huyo mtu akamatwe
 
Hawawezi kushambulia hoja ata siku moja kwa kuwa wengi wao ni watumwa kifikra, ndo walewale wakiona sura za viongozi wanaanza kuwahusudu na kuwatukuza kama watakatifu!! Na huu uzi ni imekuwa mwiba kwa watu wa aina hii!! Ila mimi naamini ukweli utabaki kuwa ukweli daima na milele
 

Duh Jf kiboko.mkuu umemwacha uchi kabsa
 
Duh Jf kiboko.mkuu umemwacha uchi kabsa
Kaa chini ufikirie kabla kuandika na kupost ameniacha uchi kwa lipi labda! Mimi si mfuasi wa kundi lolote ndio maana kama ni kushambulia kwa facts ni kotekote sasa wewe unajiona bingwa kuwa umeandika la maana!
 
jamaa ni contradictory, anamsifia lema kuwa ni shujaa anayepambana na ufashisti (akimaanisha magufuli ndie fashisti)
Lakini kwenye nyuzi nyingine alikuwa akiponda wapinzani walipokuwa wanadai magufuli ni kiongozi wa kiimla,
Usijifanye mjuaji sanaaa huku hujui lolote unaungaunga tuuh!! Mimi naishi kwa mawazo na fikra zangu siishi kwa kufuata nani anasema nini? Na kafanya nini!! Nyie endeleeni kumuimbia na kumtukuza OSANA
 
Simon umejitahidi kuandika. Yako mafuriko na ya ukoko. Lakini ni pendent kakwambia swala la Lema ni spiritual. Ili kile alichotumwa kukinena kitokee ni lazima kuwa hivyo otherwise Siyo ujumbe wa Mungu
 
Huyu ni kada wa ccm leo anajifanya ni kada wa chadema!
 
Wewe hunijui na wala ata usijaribu kunijua! Ila tabia yako ya unyani huo nakuomba uiache tabia hiyo ya kunyenyekea na kuwalaki viongozi ndio imetufikisha apa tulipo
Anzisha Basi chama chako ili usinyenyekee mtu
 
Lema usimlinganishe na Nyerere wala Mandela Nyerere hakumtukana Malkia wala Mandela hakumtukana Vorewood. Nyerere na Mandela waliomba one man one vote Lema aliomba nini?
 
.....Umeongea dhati iliyo dhahiri mkuu, Sijaona bias katika bandiko lako hili nathubutu kusema hii ni miongoni mwa post bora za mwaka 2016 hongera mleta mada!
 
Tutoleee unafiki hapa, list ya mashujaa wako wamejaa makada wa chama tawala

List ya wanasiasa mashujaa wenye damu ya mageuzi Tanzania kwa sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…