Imetosha imetosha! Saa ya ukombozi inakaribia

Narrow minded discus people.
Ukweli usikutese hivo mkuu!!

Jihadharini na watu wanaotafuta uongozi kwa njia za kuabudiwa na kuhududiwa!! Hawa watu ni hatari sanaaa

Ipo siku ukweli utageuka kuwa lulu
 
Mwanahabari unakumbuka wakati wa kesi ya Mh. Lisu upande wa serikali iliomba mahakama kutumia sheria za MAKABURU WA S.A ??!!. Sasa usishangae kwa Lema wamepata huo mwanya wa mchezo wa kukatiana rufaa kwao dili limewini. Na bosi wetu anapenda mambo ya hivyo ni mtu wa visasi.

Arusha haitabadilishwa kwa vitisho na mkwara wa kuwekana ndani. Ni kwa kazi nzuri kwa umma tu
 
Tutafungia vile viwanja wanavyo vikubwa vyote wasipate pakufanyia mkutano
 
Nipo chadema basi tu,ila Mbowe naamini alipewa hela kweli na Lowasa,.haina uficho kwamba lowasa yupo chadema kwa ajili ya uraisi
Ni hivyo tuuh mkuu ukweli ukuweke huru!
Wala usigeuka kichaa na kuweuka kuwa kilichofanyika 2015 ni halali wakati kitu haramu kabsaa.

Nashukuru kwa kuwa mkweli
 
Wazee waungwana na wazoefu wa siasa za kikaburu wanamtazama Mtume Lema kama shujaa mpya wa ukombozi na uhuru wa kweli , ambaye level yake iko sawa na magwiji ya ukombozi kama Mandela , Nyerere na Nkrumah.
 
Mato huwezi aminika wewe na umtu wa kuungaunga mambo. Kweli wewe leo uwajuongelea upinzani?. Mag3 kakukumbusha ulichowahi post.
 
Dah,ase so sad anavofanyiwa lema h nchi yetu sote,kwel ametenda kosa kubwa ivo na sheria ipo inayompa hukum au kumnyima uhuru kias iko? Sio vizur ase,nchi yetu huru embu tuendlee kuwa huru kam ilivyokuwa mwanzo,na sasa na siku zote ase!
 
Nakuambia hivi , hii kesi inakwenda kuandika historia mpya ya sheria katika nchi hii , kuna watu watadhalilika kwa kiwango cha kujiuzulu uongozi wa juu .
 
Mwananchi mwenye akili hawezi kushabikia mbunge anayetafuta democrasia ya kutukana Matusi mitandaoni.
 
Kwa mada hizi:huu ni ushaidi tosha wa uzalendo wa mleta mada!anaipenda nchi yake na ni muumini wa demokrasia!anakosoa na kujenga kotekote bila kuangalia ukada na ukamanda!
watu badala ya kushambulia hoja wanamshambulia mleta hoja!mleta mada ameandika kweli tupu!
 
Mato huwezi aminika wewe na umtu wa kuungaunga mambo. Kweli wewe leo uwajuongelea upinzani?. Mag3 kakukumbusha ulichowahi post.
Mkuu!! Mimi ni muumini wa kile ninachokiamini uwezi ukanibadilisha na mimi sina mda wa kumlaki na kumhusudu mtu kama hulka wetu wengi humu JF!

Mimi mtu akikosea nakemea akifanya vizuri lazima tuseme ukweli! Na hapa ndipo tunapoanza kutofautiana kwa sababu wengi kwenye hili jukwa wametumwa na mabosi wao. Kwahyo ukigusa tuuh ukweli kwenye maslahi ya watu lazima uonekane msaliti na utengenezewe mizengwe ya kila aina
 
wewe jamaa ni bure kabisa , watu wamekuwekea mandiko yako yote lakini bado unakomaa tu. CHADEMA inaweza kuwa na mapungufu yake lakini wa kutushauri siyo wewe. Unachokifanya hapa ni uchonganishi mtupu. Tafuta chama kingine ukichonganishe lakini siyo CHADEMA.
 
DAH, NIMESOMA KABLA SIJAKUELEWA VIZURI NDIO NAONA RECORD YA POST ZAKO, HONGERA SANA UNAJUA KUTUMIA LUGHA YA PICHA.
 
Mwananchi mwenye akili hawezi kushabikia mbunge anayetafuta democrasia ya kutukana Matusi mitandaoni.
Trump alimtukana Obama hadharani haikuwazuia wa America kumchagua na wala Obama hakutumia vyombo vya dola kumnyanyasa hili la kwetu la kutakiwa kumwabudu mtu inatoka wapi ?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…