MTAZAMO
JF-Expert Member
- Feb 8, 2011
- 19,643
- 33,427
Wakuu mliohitimu Cuba, kama Lunyasi walivyomfix mzungu ndivyo waarabu wa Uto watavyomfix jamaa yetu.
Jamaa yetu ni liability ambayo waarabu washaona itawatesa huko mbele. Kidogo kidogo akikosa attention atayavagaa kama "leta mzungu" biashara ifie hapo.
Uto wameamua kufanya kazi na watu professional na serious sio mbwigumbwigu!
Msemaji mpya katoa muongozo, "hatutaki maafisa habari maarufu kuliko wachezaji!" Kwa kauli hiyo alumni wa Cuba tukapiga ishara ya msalaba!
Hongereni uto, mbwilambwila zife tuongee mpira!
Jamaa yetu ni liability ambayo waarabu washaona itawatesa huko mbele. Kidogo kidogo akikosa attention atayavagaa kama "leta mzungu" biashara ifie hapo.
Uto wameamua kufanya kazi na watu professional na serious sio mbwigumbwigu!
Msemaji mpya katoa muongozo, "hatutaki maafisa habari maarufu kuliko wachezaji!" Kwa kauli hiyo alumni wa Cuba tukapiga ishara ya msalaba!
Hongereni uto, mbwilambwila zife tuongee mpira!