Imeshindikana vipi kuwapa tenda DP world au shirika lingine kuwa train kwa vitendo watanzania kusimamia bandari kwa miaka miwili kisha wao kuondoka?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
Wao wamefunzwa namna ya kusimamia bandari, hiyo knowledge yao imeshindikana kuihamisha kwa watanzania nasi tuweze kusimamia bandari yetu?

Waletwe hapa wakae hata miaka miwili na kisha waondoke, pakitokea tatizo wawe wanakuja hata kwa wiki wanarudi kwao.

Haya mambo kwa jinsi yalivyo kwa kujenga utegemezi kwa watu wengine wasimamie nyumba yenu ndio yanayotufanya waafrika siku zote kuonekana tabaka la chini kiasi cha kushindwa kujisimamia.
 
Wao wamefunzwa namna ya kusimamia bandari, hio knowledge yao imeshindikana kuihamisha kwa watanzania nasi tuweze kusimamia bandari yetu ?

Waletwe hapa wakae hata miaka miwili na kisha waondoke, pakitokea tatizo wawe wanakuja hata kwa wiki wanarudi kwao,

Haya mambo kwa jinsi yalivyo kwa kujenga utegemezi kwa watu wengine wasimamie nyumba yenu ndio yanayotufanya waafrika siku zote kuonekana tabaka la chini kiasi cha kushindwa kujisimamia.
Watanzania ni wagumu kujifunza lakini kibaya zaidi ni wezi, mafisadi wavivu
 
Wao wamefunzwa namna ya kusimamia bandari, hio knowledge yao imeshindikana kuihamisha kwa watanzania nasi tuweze kusimamia bandari yetu ?

Waletwe hapa wakae hata miaka miwili na kisha waondoke, pakitokea tatizo wawe wanakuja hata kwa wiki wanarudi kwao,

Haya mambo kwa jinsi yalivyo kwa kujenga utegemezi kwa watu wengine wasimamie nyumba yenu ndio yanayotufanya waafrika siku zote kuonekana tabaka la chini kiasi cha kushindwa kujisimamia.
Sisi ni wezi by nature na usipoiba ukiwa kitengo hata raia zinakushangaa. Utasikia jamaa anafanya kazi ana cheo bandarini ila hana hata gari la maana.
Hata wapigwe training bado tu wataiba.
Wawekezaji poa tu ila sasa iwe ni mikataba yenye kueleweka sio inamwagika mizigo hapa halafu tunashngilia mizigo inapita ila tunaambulia bure
 
Barabara anapewa mkandarasi
Airport kujengwa anapewa mkandarasi
Bandari imejengwa na wakandarasi
Bunge limejengwa na wakandarasi

Sisi watanzania tumelewa na vyakupewa na kufanyiwa ifike muda tufanye kila kitu wenyewe.
 
W
DP world ipo in bed na the CIA ,as for how and why wanaitaji bandari ya tz ni unknown at least for now , kuzika kwa magonjwa Kama ebola ,zika ,papilloma virus magonjwa ambayo historically hayajawai kuambukiza humans is highly suspicious ...na nchi yyte Africa inayowapa waarabu ,wahindi au mzungu wa nje ,critical infrastructure Kama bandari ni ujinga wa kupitiliza ,ni kipi wataleta hakikuwepo awali ,we export and import as per the needs za nchi,wanaosema faida ni faida gani hiyo ???? So long as tz ina demand vitu bandarini vitapita tu , Kuna kitu nyuma ya pazia hatukioni ,na viongozi ndo wajinga kabisa ,Kama ni wizi siwangewafunga wezi tu .Sad state of affairs
 
Watanzania ni wangumu kujifunza lakini kibaya zaidi ni wezi, mafisadi wavivu
Kwa hio unataka kutuambia wale walioadhimia Bandari wapewe waarabu ni wakenya au ? Na wao umewajumisha kwenye hao wezi, mafisadi, wavivu ?
 
Wao wamefunzwa namna ya kusimamia bandari, hio knowledge yao imeshindikana kuihamisha kwa watanzania nasi tuweze kusimamia bandari yetu ?

Waletwe hapa wakae hata miaka miwili na kisha waondoke, pakitokea tatizo wawe wanakuja hata kwa wiki wanarudi kwao,

Haya mambo kwa jinsi yalivyo kwa kujenga utegemezi kwa watu wengine wasimamie nyumba yenu ndio yanayotufanya waafrika siku zote kuonekana tabaka la chini kiasi cha kushindwa kujisimamia.

Kwanini msijifunze kwanza na kuelewa badala ya kulalalma Kwa kuongea vitu out of ignorance??

Waingereza wamewapa bandari Dp world.., wajerumani pia...China pia .. USA pia....

Hao wote hawakuona haya unayolalalma wewe hapa???
 
Wao wamefunzwa namna ya kusimamia bandari, hio knowledge yao imeshindikana kuihamisha kwa watanzania nasi tuweze kusimamia bandari yetu ?

Waletwe hapa wakae hata miaka miwili na kisha waondoke, pakitokea tatizo wawe wanakuja hata kwa wiki wanarudi kwao,

Haya mambo kwa jinsi yalivyo kwa kujenga utegemezi kwa watu wengine wasimamie nyumba yenu ndio yanayotufanya waafrika siku zote kuonekana tabaka la chini kiasi cha kushindwa kujisimamia.
Sisi huwa hatupendi sana kujifunza ila tunapendaga upigaji tu !!
 
Mijitu mingi inayolalalma humu inafikiri hao Dp world ni kikundi cha waarabu wawili watatu...
Ukiwaambia mbona wanaendesha bandari USA Hadi China na ujerumani na UK...hawanga majibu
Hata Simba na Yanga pia wanachama hawataki ziendeshwe na wawekezaji lakini timu kubwa za Ulaya zinaendeshwa na wawekezaji wa kutoka UARABUNI !! 😅😅
 
Serikali ilishafanya hivyo MSD, watu wakawa trained, bohari ikawa na dawa na fedha hadi za akiba, ila tangu waondoke "wazungu", hatujawahi kuwa na ufanisi hata wa kugawa dawa nchi nzima kwa wakati.

Tunachoweza ni kutengua na kuchagua Wakurugenzi.
 
Serikali ilishafanya hivyo MSD, watu wakawa trained, bohari ikawa na dawa na fedha hadi za akiba, ila tangu waondoke "wazungu", hatujawahi kuwa na ufanisi hata wa kugawa dawa nchi nzima kwa wakati.

Tunachoweza ni kutengua na kuchagua Wakurugenzi.
Watu wanaendekeza sana upigaji tu ! Wanasemaga ndio ujanja wa mjini !! Hasara sana !! Akili zetu ni za kutambiana tu sio za kuiendeleza Nchi !!
 
HAPA NDIMBO SERIKALI YETU ILIBIDI IHAKIKISHE KILA MTU ANAKUW MIADILIFU

KUNA KUW NA MIFUMO YA HAKI NA UWAJIBIKAJI , NA TEKNOLOJIA YA SASA N KUBWA INAWEZ PUNGUZA RUSHWA , WIZI NA KUTOWAJIBIKA KWA KIAS KIKUBWA

KAMA MTUMISH AKIPEW LENGO LA KUTIMIZ KILA SIKU.


Hivi kwanini hatutaki kukubali sababu zinazosababisha kukwama kwa kupata faida kubwa na uendeshaji wenye tija?
Mbona jawabu ni kutokuwa waaminifu
Tuwe waadilifu na tufanye kazi bila wizi, Haki tutafika mbali sana
 
Back
Top Bottom