Mbona unaamini watu wa pembeni kuliko kipenzi chako? Unajuaje kuwa hayo unayoambiwa ni kweli? Labda mtu anataka muachane.
Mkuu ngoja nikuulize vitu vichache1. Hebu jiweke kwenye nafasi ya huyo dada, halafu yeye nafasi yako, Kisha akuulize ulishawahi kutoa mimba? Jibu lako lingekuwaje?????2. Kwa kipindi chote mlichokaa pamoja, umemwona anafaa au hakufai, je kuna issue yoyote mbaya zaidi ya hii ya taarifa uloisikia kutoka kwa huyo mdogo wa x wako?3. Je, hiyo taarifa ina chochote cha kuchangia katika mustakabali wa maisha yenu ya baadae...4. Je, mnapofanya tendo la ndoa mnatumia kinga ama anakupatia tu hivi hivi, ikiwa ndio, amekuamini km alivyomwamini yule x wake inaweza tokea ajali, kwa hiyo ile ni ajali kazini na si suala la kumlaumSasa basi, ndugu endelea na huyo mdada. Ni heri mavi ya kale hayanuki, ilitokea jamaa mmoja alioa mwanamke bikra, sasa alipomzindua baada ya ndoa ikawa balaa mwanamke akawa anataka kwa kila mtu. Siamini ikiwa taarifa ulopewa ni sahihi, lakini pia kama alikwambia sio, ndio jibu alotakiwa kukupa hata kama ingekuwa ni kweli.take it ease na msonge mbele.hapana unajua kuna inshu zinakela sana mkuu maana mtu nilishampa nafas ya kunieleza yote lkn akanificha unafikil alikua anafikilia nn
kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna jamaa wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana mdogo wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga story na yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu g friend wangu waliwah ku abotion.
Jamani hiyo ishu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nini cha kumfanya maana niliwahi kumuuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa mimba lakini akanikatali katakata.
Jamani waungwana huyu ananifaa kweli?
Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna jamaa wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana mdogo wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga story na yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu G friend wangu waliwah ku abotion.
Jamani hiyo ishu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nini cha kumfanya maana niliwahi kumuuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa mimba lakini akanikatali katakata.
Jamani waungwana huyu ananifaa kweli?
kwa hiyo we unamwamini nani? mchumbako au huyo mtoa taarifa.....?Kuna msichana nimekuwa nae kwenye mahusiano kwa mda wa mwaka moja sasa, kuna jamaa wake wa kipindi cha nyuma ambaye walikua naye kwenye mahusiano ana mdogo wake tunafanya nae kazi ofsi moja sasa siku moja katika kupiga story na yule jamaa yaani mdogo wake na x boyfriend wa mchumba wangu akanivujishi inshu kua et kaka yake kipindi bado ana relation na huyu G friend wangu waliwah ku abotion.
Jamani hiyo ishu imeniuma sana mpaka sasa nashindwa nini cha kumfanya maana niliwahi kumuuliza mapema sana kama ana mtoto au aliwahi kutoa mimba lakini akanikatali katakata.
Jamani waungwana huyu ananifaa kweli?
Kwani cha ajabu kipi? We hujawahi kumpa mwanamke mimba ambayo haikutarajiwa?
Unatumia condom miaka yote ya maisha yako...?
Si bora alotoa kuliko aliezaa akamtupa?