yutu
JF-Expert Member
- Nov 24, 2013
- 1,778
- 1,222
Kwanza nasikitika kwamba kwa mujibu wa maelezo yako unapenda lu-act kwa kubase kwenye monong'ono
Pili nasikitika unapoonyesha wazi kumlaumu huyo kaka kwamba kama minong'ono ni kweli basi atakuwa amemuambukiza huyo mdada...Questions!!
1. Huyo dada alitolewa bikira huyo mkaka?..kama sio ina maama kuwa alishafanya na wengine
2. Huyo kaka ndo mtu wa kwanza au wa mwisho kuumwa hiyo kitu?..jibu ni hapana walioathirika wapo wengine ambao wanaweza kumwambukiza mdada kabla na baada ya kuanzana na huyo mkaka
3. kuna mtu yeyote aliyempima huyo dada wakati anaanza kazi hapo home kwenu na kuthibitisha kwamba hajaambukizwa? no!!
4. Kuna ushahidi kuwa anatembea na huyo kaka peke yake? kwamba kama ni maambukizi hawezi kuyatoa kwingine?
tuombe hiyo minong'ono isiwe na ukweli rafiki
umemaliza mkuu pokea manual like