Latifaa
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 501
- 258
Nimekuja mkoa kusalimia nyumba ni kidogo nikakuta kuna msichana wa kazi chapakazi hadi raha nikampenda sana kwa Tabia yake ya kuchapa kazi nakujielewa yupo kazini hadi nikawa natamani nipate msichana kama huyu siku moja maana niko busy sana mimi.
Sasa tuje kwenye kilichonisikitisha hapa nyumba kuna kijana ndugu anaishi hapa kwa maza kama mtoto wanyumbani tuu kwa hiyo tumemzoea kama kaka yetu kabisaaa kuna kipindi Fulani aliuguua sana hadi akalazwa TB minongono ikasikika ameathirika maana yeye mwenyewe aliwaambia baadhi ya watu wake wakaribu majibu ya dokta tukamsikitikia sana hapo.
Kwakupenda totoz anatisha, kilichonihuzunisha nakunikitisha sana ni huyu binti wa kazi kaniambia mwenyewe kubwa huyu kaka ameshatembea nae alivyokuja tuu alimtongoza japo alimkatalia lakini baadae akamkubalia niliishiwa nguvu mbaya zaidi nahisi wametembea bila kondomu kwakua kuna kipindi alikua anamrusha roho huyu kaka kwakumwambia amepata ujauzito.
Sasa sijajua anaujauzito kweli au ni geresha kwa kweli nikimfikiria namuonea huruma hadi natamani kulia hili likaka nikiliangalia ndio sina hamu kwanini kumuangamiza binti wa watu makusudi jamani? Nilikuwa nahitaji sana mdada wa kazi, ila nimeingia hofu kubwa sana kumchukua maana mama alishaniambia kama nataka nimchukue sasa tatizo ni kwamba nikimtafakari namuonea huruma sana yaani binti wa miaka 20 tuu jamani imeniuma sana kwa kweli.
Sasa tuje kwenye kilichonisikitisha hapa nyumba kuna kijana ndugu anaishi hapa kwa maza kama mtoto wanyumbani tuu kwa hiyo tumemzoea kama kaka yetu kabisaaa kuna kipindi Fulani aliuguua sana hadi akalazwa TB minongono ikasikika ameathirika maana yeye mwenyewe aliwaambia baadhi ya watu wake wakaribu majibu ya dokta tukamsikitikia sana hapo.
Kwakupenda totoz anatisha, kilichonihuzunisha nakunikitisha sana ni huyu binti wa kazi kaniambia mwenyewe kubwa huyu kaka ameshatembea nae alivyokuja tuu alimtongoza japo alimkatalia lakini baadae akamkubalia niliishiwa nguvu mbaya zaidi nahisi wametembea bila kondomu kwakua kuna kipindi alikua anamrusha roho huyu kaka kwakumwambia amepata ujauzito.
Sasa sijajua anaujauzito kweli au ni geresha kwa kweli nikimfikiria namuonea huruma hadi natamani kulia hili likaka nikiliangalia ndio sina hamu kwanini kumuangamiza binti wa watu makusudi jamani? Nilikuwa nahitaji sana mdada wa kazi, ila nimeingia hofu kubwa sana kumchukua maana mama alishaniambia kama nataka nimchukue sasa tatizo ni kwamba nikimtafakari namuonea huruma sana yaani binti wa miaka 20 tuu jamani imeniuma sana kwa kweli.