Imekuwa siku mbaya sana kwangu

baba mausingizi

Senior Member
Jun 15, 2016
189
119
Wakuu siku ya leo imekuwa ngumu sana.

Story ipo hivi; nina mpenzi wangu tuna kama miaka miwili hivi ukweli nampenda sana,sasa miezi michache iliyopita alianza sumbuliwa na tumbo sana alienda hospitali majibu alionekana ana uvimbe na suluhisho abebe ujauzito. Alinieleza tukapanga mwezi wa tisa abebe mimba ila tunaishi mikoa tofauti tuna utaratibu wa kukutana mara moja kila mwezi,ila sasa kama ana week amebadilika mawasiliano kwa shida.

Sasa jana nimempigia kumuuliza kuna tatizo gani akanijibu anaomba nimsamehe ana mimba kwani tatizo lilizidi akaona abebe mimba kwani aliogopa asije akakosa kuzaa dah niliumia sana akalia sana na akaniahidi kuwa kesho ataitoa nimsamehe zen tuendelee kiukweli sijamjibu kitu na bado nampenda ila nipo njia panda sana
 
Yan kabeba atoe halaf muendelee na mahusiano?? Sasa kama alihofia kutokuzaa anataka aitoe ya nini?? Honestly sijawah kusikia kua baadhi ya uvimbe tumboni suluhisho n mtu abebe mimba, sio riziki yako achana naye songa mbele na maisha yako
 
Mkuu tumia Akili achana na Moyo utakupoteza. Najua tayari majibu yapo kichwani mwako.
 
😳😳😳😳😳😳

Wakuu siku ya leo imekuwa ngumu sana story ipo hivi nina mpenz wangu tuna kama miaka miwili hivi ukweli nampenda sana,sasa miezi michache iliyopita alianza sumbuliwa na tumbo sana alienda hospital majibu alionekana ana uvimbe na suluhisho abebe ujauzito alinieleza tukapanga mwezi wa tisa abebe mimba ila tunaishi mikoa tofauti tunautaratibu wa kumit mara moja kila mwezi,ila nw kama ana week amebadilika mawasiliano kwa shida sasa jana nimempigia kumuuliza kuna tatizo gani akanijibu anaomba nimsamehe ana mimba kwani tatizo lilizidi akaona abebe mimba kwani aliogopa asije akakosa kuzaa dah niliumia sana akalia sana na akaniahidi kuwa kesho ataitoa nimsamehe zen tuendelee kiukweli sijamjibu kitu na bado nampenda ila nipo njia panda sana
 
Kweli ignorance is the mother of evil and all misery we see.

Sikuwahi kufikiria mwanaume mzima kabisa na uwezo wa kufikiri unao, uje udanganywe kipuuzi namna hiyo.

"Nina uvimbe na dawa ni kubeba mimba", WTF kiongozi!!
 
baba mausingizi

Naamini majina hasa tunayojichagulia kwa hiari yetu wenyewe, hubeba uhalisia. Nakushauri tu tena ushauri wa kaka (brotherly advice); toka ktk lindi la usingizi ulilonalo, fungua macho nawe upate kuona. Uone kwani kila kitu kipo kweupe tena hadharani.

Bazazi
 
Pole sana aisee.
Hapa shida siyo yeye kuwa na mimba, shida ni njia iliyotumika.
Usikubali tu kushiriki dhambi ya yeye kuitoa mimba.
Mwambie tu alee mimba yake na wewe mind your business...
 
Yan kabeba atoe halaf muendelee na mahusiano?? Sasa kama alihofia kutokuzaa anataka aitoe ya nini?? Honestly sijawah kusikia kua baadhi ya uvimbe tumboni suluhisho n mtu abebe mimba, sio riziki yako achana naye songa mbele na maisha yako
Ni kweli kuna matatizo ya wanawake ya mfumo wa uzazi...solution yake ni kuzaa...

Ila huyu fala hapa ni mzembe sanaa...acha avune uzembe wake...na huyo mwanamke ni mchepukaji tu...

Eti hali ilizidi kuwa mbaya...so nikaona nibebe mimba...hali ni mbaya wakati huo huo ukapata nguvu ya kudukuliwa na baoni ukafika na mimba ukabeba...
 
Duh, mapya Haya. eti kwamba dawa ya huo uvimbe ni mimba? amekudharau sana, hujajua tu. Pole
 
In zambi kubwa sana akitoa hiyo na sababu itakuwa in ww so mkomfort asiitoe azae kwani babake mtot si yupo wamlee mtoto wao

Wew Fanya maisha yako mengine mbona wanawake wamejaa kibao tu hawana wenywe unangangania kiuchi kimoja cha nin na kimeshadukuliwa na wengine
 
Back
Top Bottom