Imekaaje baada ya mtoto kuhitimu la 7 nikamsomesha QT?

Kwanini unataka kumlisha mtoto vitu vingi kuliko umri wake?mwache aendelee inavyotakiwa chief
 
Kwanini unataka kumlisha mtoto vitu vingi kuliko umri wake?mwache aendelee inavyotakiwa chief

Kukaa darasani muda mrefu sio sahihi zama hizi.. mtoto akiwahi kumalizana na elimu ya sekondari katika umri mdogo. Anapata muda wa kujifunza skills nyingi.

Sio miaka 25 ndio anamaliza degree bila hata skills yeyote
 
Kukaa darasani muda mrefu sio sahihi zama hizi.. mtoto akiwahi kumalizana na elimu ya sekondari katika umri mdogo. Anapata muda wa kujifunza skills nyingi.

Sio miaka 25 ndio anamaliza degree bila hata skills yeyote
Hakika maana kuna VETA ambayo vijana na wazazi wengi hawaiwazii,kijana akipata ujuzi atakula kiulaini kuliko kutegemea ajira anasugua bench
 
Ninafikiria mwanangu akimaliza darasa la saba nimsomeshe QT miaka 2 na form 4 mwaka mmoja kisha form 5&6 mwaka 1.

Kikubwa ni kujitoa muhanga kumsimamia kwa ukaribu wa hali ya juu ili afanikiwe.
Inawezekana ila ukipata shule nzuri... mi nlivomaliza std 7 nkaenda kusoma QT then nkapga form 3&4 mwak mmoja na nkamalizia 5&6 mwaka mmoja...
 
Ninafikiria mwanangu akimaliza darasa la saba nimsomeshe QT miaka 2 na form 4 mwaka mmoja kisha form 5&6 mwaka 1.

Kikubwa ni kujitoa muhanga kumsimamia kwa ukaribu wa hali ya juu ili afanikiwe.
Kwa sababu gani mtaalam?usimtese Sana mwanao.
 
Kukaa darasani muda mrefu sio sahihi zama hizi.. mtoto akiwahi kumalizana na elimu ya sekondari katika umri mdogo. Anapata muda wa kujifunza skills nyingi.

Sio miaka 25 ndio anamaliza degree bila hata skills yeyote
🥂
 
Karibu mkuu
Screenshot_20211011-171254.jpg
 
1.Asisome masomo ya science
2.Awe ma akili za ziada hata kwa hayo masomo arts.
3. English itamsaidia kuelewa harka masomo
4.yaani tuition sanaa yaani .


Qt kufaulu ni mgumu mno ila ukimuwezesha ataweza
 
Ninafikiria mwanangu akimaliza darasa la saba nimsomeshe QT miaka 2 na form 4 mwaka mmoja kisha form 5&6 mwaka 1.

Kikubwa ni kujitoa muhanga kumsimamia kwa ukaribu wa hali ya juu ili afanikiwe.
Kuanzia mwaka huu 2024, QT haitakuwepo badala yake wote private candidates na wanafunzi wa shuleni watafanya mtihani sawa wa upimaji yani FTNA.
Masomo ya kujisajili na kufanyia mtihani ni saba ila akipata D mbili kati ya hayo, ataruhusiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne (CSEE) mwaka unaofuata.
Kwenye mtihani wa kidato cha nne atajisajili masomo 7.
Zingatia: Mwanafunzi anaweza kujisajili masomo 7 yanayohitajika ila akaamua kuwa serious kusoma masomo manne au matano tu yanayoendana na combination (tahasusi) anayoipenda.
 
Back
Top Bottom