PostGE2025 Imeandaliwa Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano Oktoba 29

PostGE2025 Imeandaliwa Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano Oktoba 29

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

toriyama

JF-Expert Member
Joined
Feb 18, 2014
Posts
1,546
Reaction score
3,196
leo tarehe 25 november Samia kaanzisha Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano October 29 taskforce imehusisha TISS, kamati ya CCM nitaweka majina soon vijana hao watakuwani UVCCM wameandaa waandishi wa habari, viongozi kila kanda kuratibu vijana ingia instagram search accunt ya NURUVAZI yupo live ana host HABIL anatoa nondo na ushahidi siwezi upload link maana ni kinyume na taratibu za JF

-Vijana watatoa ushahidi wakiwa wamekifunika sura
- vijana wameahidiwa milioni 3 kila mmoja

Maelezo yote ya hizo task force kuvujisha anatoa habil and kabil ingia TikTok search account summerclif00

Member: wanaume 8
Watu wa intelijensia: 3
Wanawake: 4

Instagram ingia account ya NURUVAZI
 
1764096204027.jpg
 
Nyie ndio mnaoharibu jukwaa hili na kushusha heshima ya jukwaa kwa kutunga vihabari vya uongo na uzushi tu hapa.

Unafanya kazi ya kujitekenya na kujichekesha Mwenyewe kama zuzu vile.

Unaweza kuweka ushahidi wako hapa wa huo ujinga wako unaoropoka hapa ?

Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais. Kama umekosa adabu na kukosa malezi ya wazazi wako .usilete ujinga wa kumchafua Mheshimiwa Rais .Tena koma kabisa.
 
Mwambie huyo Samia na wapumbavu wake wa TISS. Hakuna propaganda watakayotuuzia itakayofanikiwa kuturubuni.

Wao ni wapumbavu tu na wanavyozidi kufanya upumbavu ndo wanavyozidi kudhihirisha kuwa wao ni wapumbavu.
 
leo tarehe 25 november Samia kaanzisha Task force maalumu kuwaandaa vijana waseme walilipwa kufanya maandamano October 29 taskforce imehusisha TISS, kamati ya CCM nitaweka majina soon vijana hao watakuwani UVCCM
Itasaidia nini sasa
 
Back
Top Bottom