Its practical 4 a period of tym lkn baada ya muda utagundulika 2, anyw umejaribu kusadifu uhalica wa maisha kwa ku-imagine kisa cha namna hiyo. Lkn uaminifu ktk mahucano unawezekana kabisa kaka!Nimeenda Kwa Babu Kupata Kikombe Ili Nisipate Magonjwa sugu, Kwani zinaa inaua.
- Nakuwa Karibu na Mpenzi wangu Kimwili na kiakili.
- Na-act kama mshauri mkubwa na Namtia matumaini
- Natoka nae out mara mbili within a week days na wkend tunakuwa pamoja.
- Kila wkend Shoping lazima.
- Nina simu tatu kati ya hizo ni moja tu ndio nitumiayo nikiwa na nimpendae.
- Najenga mahusiano mazuri na rafiki zake pamoja na wazazi wake.
- Nimehakikisha kazini kwangu hatambuliki hata kidogo.
- Nikitaka kuchakachua vimada naenda nje kidogo ya Jiji la bongo.
- Nampitia kila siku kazini kwake wakati wa kurudi nyumbani.
- Nimehakikisha kazini kwake natambulika mpaka kwa bosi wake.
- Nimejenga mazingira mazuri yanayoniwezesha kupata taarifa zake.
- Nimehakikisha naongea nae kwa simu kwa masaa 5 kwa siku.
- Nimehakikisha kuwa rafiki zangu wa karibu sana hawamjui.
- Nimehakikisha anatembelea nyumbani kwa wiki mara 4.
MY TAKE: CHEATING IS A GAME SOMETIMES YOU WON, SOMETIMES YOU LOOSE.