I'm really caught-up here

Roger Sterling

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2015
Posts
13,010
Reaction score
23,653
Hi fellows.


Nina manzi wangu tuko kwenye uhusiano(distant one) miaka miwili sasa. Namkubali sana huyu bibie, tuna chemistry ya hatari. Pia namuamini sana (as ironic as it might sound in the end), for my own good.


Jana wakati tuna-chat kama kawaida, akaniambia ana hamu ya kinywaji na anafikiria kutoka kwenda kutii kiu (anakunywa lakini si mlevi). For the record, tulikubaliana awe anakunywa nikiwepo tu au awe ananipa taarifa. Kiutani nikamuuliza kama amesahau makubaliano yetu kuwa aache, akajibu hajakiuka makubaliano na ameacha kweli. Kama wiki na kitu hapo nyuma katika maongezi aliniambia ameshtua kidogo, sikujali sana coz alikuwa nyumbani. With that in mind, nikamuuliza mara ya mwisho kuonja ilikuwa lini, akanijibu kuwa ni mwezi wa nne. Nilipomkumbusha maongezi yetu ya siku kadhaa nyuma aliponiambia mwenyewe kuwa kashtua alinijibu hahesabii bia moja au mbili kama kunywa. Mind you nilimuuliza na nilikuwa specific kama ameacha kabisa, na akasema ameacha, so ni wazi hapa hakuwa muwazi.


Kurefusha tu ni kwamba nilimuambia jinsi amenivunja moyo na anachezea imani yangu kwake na akaomba msamaha, ila msamaha sio niliokuwa nikiuhitaji hapa bali anieleweshe kwanini ameshindwa kuwa mkweli kwenye issue ndogo kama hii. Najiuliza kama anaweza kupindisha maelezo kwenye hili, vipi kuhusu mengine ya maana..? Yeye anasema haoni tatizo ila mi ndio nakuza mambo. I slept on it, tryna make sense of it but I’ve failed to, and it’s chewing on me man.
 
Yan bia mbili kastua..so akikwambia kanywa anamaanisha ngap? Nne ...tano may be.....
Sasa huyo n mwanamke

Uzuri unajua kwamba kuna hii shida
Taratibu msaidie kuacha kwa maana si sifa nzur sana kwa mwanamke

Wanawake tunapaswa kuwa mfano bora Wa kuigwa kwa ndugu,jamaa ,marafiki zaid kwa familia ambazo tunazijenga wenyew
Otherwise tunaandaa misingi mibovu kwa watoto

Mpe mda na msaidie kabisa aache
Ukiona hana muelekeo bas pambana na hali yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Kunywa sio kesi sana, na tunaifanyia kazi. Issue ni kupindisha maelezo.
 
Wewe huwa hunywi?

Tunasubiri miaka yako ili tukushauri vizuri

CC [TAG]Nokia83[/TAG]
 
Niko kwenye kundi wanalosema "we drink socially", ila kama umenielewa kunywa siyo tatizo hapa.
kama hivyo sawa ila tambua kuwa wanawake wengi hawawezi kujibu straight kuwa nimefanya kitu flan mpaka uwakazie sanaaa so kuwa mvumilivu mwisho utajikuta unaachana na kila mwanamke kutafuta mkweli, kikubwa kuvumiliana,kusamehana
 
Watu wataona ni kitu kidogo sana unacholalamikia, ila kuna vitu vidogo vidogo mtu akidanganya huwa vinaumiza moyo hasa pale unapomwambia usifanye..

Usimwamini sana huyo!!
 
Mkuu ... mambo mengine si ya kukomalia hivyo. Nina uhakika hata yeye anajua akikuambia ukweli unaweza ukatufia humu jukwaani.

Wanawake (si wasichana) hawapendwi kuchungwa hasa kwa vitu vidogo kama hivyo. As long as she knows your place we muache awe huru na mambo yake. Distance in relationships ni very challenging, at some points inakubidi utafute some distractions kupunguza msongo wa mawazo. Distractions zinaweza kuwa marafiki, parties, drinking, gym, au hata mchepuko ili kupunguza mihemko (we are all humans after all and we need sexual satisfactions).

Ushauri wangu .... take it easy, in fact just assume anything can go wrong to the point ya kuachana ili uwe unapotezea baadhi ya vitu vidogo vidogo (in don't care kinda vibe).

Ciao!!
 
Munywaji ni munywaji tu hata anywe vijiko vitatu. Sasa ukubali kuwa una mlevi , huo ndo ukweli.

Kuna kesi moja binti alikubaliana na kijana wafanye romance tu na achezeshe kichwa tu kwa juu, kijana utamu ulivyokolea akadumbukiza yote binti kaenda mahakamani kwa kuvunja agreement.

Yes binti alishinda kesi but in real situation kuchezesha kichwa cha dushe is equal to what......??

Kwa upande wangu hiyo ni sex so hakunaga agreement ya vitu kama hivyo.

Eti anywe kidogo? My dia kama pombe inakuboa tafuta binti ambae hatumii kabisa.

Binafsi sijawahi kuonja hata kidogo ila kama nikimpenda mwanaume mtumiaji wa pombe lazima nikubali nijitathimin kama nitaweza au la!
 
Kunywa sio kesi sana, na tunaifanyia kazi. Issue ni kupindisha maelezo.
wewe huwa unanyoosha maelezo? muwe mnatupa na sisi space kidogo loooh
hivi kama kuolewa kuna masharti hivi wengine tutakatiza kweli? mie sijui kama nitaweza aga kila sehemu ninayokwenda
Mungu anisaidie
 
why compaining too much in such small stuffs ??
If you wanna spend the rest with her try to see the best even when she is at worst

NB; you and her are not perfect but together you can make perfection
 
why compaining too much in such small stuffs ??
If you wanna spend the rest with her try to see the best even when she is at worst

NB; you and her are not perfect but together you can make perfection
Wa chuga huyooooo
big up men, watu hatuko perfect 100 percent bhana watuachage kidogo
 
Take this mkuu ... huu ni ushauri tosha. Stop bugging her tooooo muuuuch!!!

You wouldn't trip if the one you love lied to you?

why compaining too much in such small stuffs ??
If you wanna spend the rest with her try to see the best even when she is at worst

NB; you and her are not perfect but together you can make perfection

Lying is no "small stuff", man. I'd keep my grills tight on some issues, but not lying. I'm fussing coz if I don't, it will get excessive. All I need is to understand why she wasn't straight with me, then I'll see if it's reasonable enough.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…