Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Hi fellows.
Nina manzi wangu tuko kwenye uhusiano(distant one) miaka miwili sasa. Namkubali sana huyu bibie, tuna chemistry ya hatari. Pia namuamini sana (as ironic as it might sound in the end), for my own good.
Jana wakati tuna-chat kama kawaida, akaniambia ana hamu ya kinywaji na anafikiria kutoka kwenda kutii kiu (anakunywa lakini si mlevi). For the record, tulikubaliana awe anakunywa nikiwepo tu au awe ananipa taarifa. Kiutani nikamuuliza kama amesahau makubaliano yetu kuwa aache, akajibu hajakiuka makubaliano na ameacha kweli. Kama wiki na kitu hapo nyuma katika maongezi aliniambia ameshtua kidogo, sikujali sana coz alikuwa nyumbani. With that in mind, nikamuuliza mara ya mwisho kuonja ilikuwa lini, akanijibu kuwa ni mwezi wa nne. Nilipomkumbusha maongezi yetu ya siku kadhaa nyuma aliponiambia mwenyewe kuwa kashtua alinijibu hahesabii bia moja au mbili kama kunywa. Mind you nilimuuliza na nilikuwa specific kama ameacha kabisa, na akasema ameacha, so ni wazi hapa hakuwa muwazi.
Kurefusha tu ni kwamba nilimuambia jinsi amenivunja moyo na anachezea imani yangu kwake na akaomba msamaha, ila msamaha sio niliokuwa nikiuhitaji hapa bali anieleweshe kwanini ameshindwa kuwa mkweli kwenye issue ndogo kama hii. Najiuliza kama anaweza kupindisha maelezo kwenye hili, vipi kuhusu mengine ya maana..? Yeye anasema haoni tatizo ila mi ndio nakuza mambo. I slept on it, tryna make sense of it but I’ve failed to, and it’s chewing on me man.
Nina manzi wangu tuko kwenye uhusiano(distant one) miaka miwili sasa. Namkubali sana huyu bibie, tuna chemistry ya hatari. Pia namuamini sana (as ironic as it might sound in the end), for my own good.
Jana wakati tuna-chat kama kawaida, akaniambia ana hamu ya kinywaji na anafikiria kutoka kwenda kutii kiu (anakunywa lakini si mlevi). For the record, tulikubaliana awe anakunywa nikiwepo tu au awe ananipa taarifa. Kiutani nikamuuliza kama amesahau makubaliano yetu kuwa aache, akajibu hajakiuka makubaliano na ameacha kweli. Kama wiki na kitu hapo nyuma katika maongezi aliniambia ameshtua kidogo, sikujali sana coz alikuwa nyumbani. With that in mind, nikamuuliza mara ya mwisho kuonja ilikuwa lini, akanijibu kuwa ni mwezi wa nne. Nilipomkumbusha maongezi yetu ya siku kadhaa nyuma aliponiambia mwenyewe kuwa kashtua alinijibu hahesabii bia moja au mbili kama kunywa. Mind you nilimuuliza na nilikuwa specific kama ameacha kabisa, na akasema ameacha, so ni wazi hapa hakuwa muwazi.
Kurefusha tu ni kwamba nilimuambia jinsi amenivunja moyo na anachezea imani yangu kwake na akaomba msamaha, ila msamaha sio niliokuwa nikiuhitaji hapa bali anieleweshe kwanini ameshindwa kuwa mkweli kwenye issue ndogo kama hii. Najiuliza kama anaweza kupindisha maelezo kwenye hili, vipi kuhusu mengine ya maana..? Yeye anasema haoni tatizo ila mi ndio nakuza mambo. I slept on it, tryna make sense of it but I’ve failed to, and it’s chewing on me man.