Nani kakuambia yuko desperate?!!Uko desperate af unachagua chagua...umeshayumba tayar
Wewe peke ako mbona wengine wamekuja na nishapata nimtakayePambana.umri huo wanaume weng tunaukwepa
Kweli na hiyo ndio atawachuja kirahisiUkimpata interview mwambie aseme zab 23 yote
akishindwa ujue shekhe huyo kaja,Piga X
You’re very smart mkuu!I don't care who comment what!mwenye kupima anaweza kupata picha kichwa changu Kiko vipi.Thats why I reply positively on positive comments and trash on stupid ones!
Thank you for speaking mkuu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wewe weka sifa zako zingine wenda ukawa faa wengineKila la kheri dear....wakija wengi wengine nawaomba ila uwaambie me nna miaka 32
Naona umefanya leverage ya kutumia thread ya bidada kutangaza mahitaji yako.Kila la kheri dear....wakija wengi wengine nawaomba ila uwaambie me nna miaka 32
BadoNaona umefanya leverage ya kutumia thread ya bidada kutangaza mahitaji yako.
Umejiongeza kisomi, smart move.
Tayari ushampata mwenza mkuu?
Nitaweka
Una watoto wangapi?Habari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
Itabidi wadau wenye sifa za kuwa mume wachangamkie hii fursa.Bado
The world is not fair ,...wengine wanatafuta wengine hawataki kabisa kwa kutendwaKila la kheri dear....wakija wengi wengine nawaomba ila uwaambie me nna miaka 32
Unataka kusemaje?The world is not fair ,...wengine wanatafuta wengine hawataki kabisa kwa kutendwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe VP kila MTU anajua bible...wale masheikh wa mihadhara ya bible wanajua kila kitu...so hicho sio kipimoUkimpata interview mwambie aseme zab 23 yote
akishindwa ujue shekhe huyo kaja,Piga X
Habari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
Habari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
Kila la kheri dear....wakija wengi wengine nawaomba ila uwaambie me nna miaka 32