Matured Man sio Yule mwenye utoto au ujana haujamuisha!Hiki kigezo cha
Umri kuanzia miaka mingapi?
Habari,Mimi ni mwanamke mwenye miaka 30.Ni mwajiriwa na Nina elimu kiasi.Ninajitokeza kutafuta mwenza katika jukwaa hili.
Ninayemuhitaji;
Awe mkristo
Awe matured Man mwenye kujitambua.
Awe muwazi
Awe na Nia ya dhati.
Karibuni Pm.
Mmoja kati yenu naamini atakuwa wangu!Kila la kheri dear....wakija wengi wengine nawaomba ila uwaambie me nna miaka 32
Kila la kheri dear....wakija wengi wengine nawaomba ila uwaambie me nna miaka 32
Karibumkuu umenipata hapa
nakuja pm
PM.
Sina mambo mengi, mimi mkaa ndani tu.
Sinywi Pombe, Sivuti Sigara, Sibet, Si Shabiki Saana Wa Kitu Chochote Hata Mpira, Niko Fair Na Mvumilivu, Napenda Kufikiri, Sili Sana.
Napenda Maisha Ya Kiasi.
- Udhaifu Wangu.
Nina Huruma Sana Hivyo Dharau Ikiwa Too Much Huwa Nakasirika Sana.
Ni Mvivu Sana Kupika na Kufua
Aaa wapiHapo kigezo cha matured kimekuua mkuu
Hizi nyuzi huwa sio za discussion
Zameni huko PM, hamjiamini??