Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,905
- 28,071
Katika ku-enjoy kwako hakikisha hauambukizi wengine tu.
Unajua we ajuza sometimes kichwa yako inachaji ile mbaya....
Katika ku-enjoy kwako hakikisha hauambukizi wengine tu.
We enjoy bana no need to worry cha msingi jitunze na ufate masharti..I knw some people wenye aids kwa zaidi ya 15 yrs na wanadunda tu
Unasema '15' angali mimi ninamjua wa miaka 30....Na ni mama mtu mzima na ana afya tele....