pengine na wao wamekeketwa, sasan i vigumu kuutungia wimbo udhaifu wako...si unajua tena, hata wale wanaume wenzetu wenye mikono ya sweta, akiwa kwenye group akaona mmeanza kuongelea ubaya wa mkono wa sweta, anaondoka fasta....ukweli huwa unauma ati.....Halafu mimi huwa najiuliza sana! Hawa wasanii wanashindwa hat kutunga filamu kali juu ya ukeketaji (wakaiandaa hata kwa miaka miwili) wakatoa kitu cha ukweli na hata wakapata tuzo za kimataifa, wanakalia kuigiza mafilamu ya "I LOVE YOU" kila siku huku yakiwa na subtitles zenye broken English?
Hata wasanii wa nyimbo pia nao wamo kwenye kundi hilo hilo!
Kwa kufanya hivyo wangeweza kutoa ujumbe mzito kwa jamii mbalimbali na kujipatia pesa nyingi pia! Lkn wanakalia kutengeneza filamu 4 tofauti kwa mwaka, kila baada ya miezi mitatu filamu na kila filamu ina part 1 na 2 ambazo hizo part 1 na 2 huwezi kuzitofautisha!
Nenda Same, Dodoma, Singida na Arusha utayaona "makopo" mengi tu live siyo kwenye picha.Nenda Taaaaaariiiiime Mkoa wa Mara. wapo wengi tu.
Nenda Same, Dodoma, Singida na Arusha utayaona "makopo" mengi tu live siyo kwenye picha.
Nenda Same, Dodoma, Singida na Arusha utayaona "makopo" mengi tu live siyo kwenye picha.