Iliishia wapi ile haki ya kuchinja?

Iliishia wapi ile haki ya kuchinja?

Galadudu

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2014
Posts
2,304
Reaction score
780
Kulikuwa na mgogoro cku za nyuma kwamba waislamu wanalazimisha kuwa wao ndo wana haki ya kuchinja....na wakristo wakisema sio lazima muislamu aje akuchinjie, hivi liliishaje hilo sakata? na nani waliopewa haki hiyo?
Msaada plz
 
Nimeomba kujulishwa tu jaman mcfikirie tofauti...ni kina nani walipewa haki ya kuchinja?
 
Kulikuwa na mgogoro cku za nyuma kwamba waislamu wanalazimisha kuwa wao ndo wana haki ya kuchinja....na wakristo wakisema sio lazima muislamu aje akuchinjie, hivi liliishaje hilo sakata? na nani waliopewa haki hiyo?
Msaada plz

Hivi huoni raha tukitulia hivi? Watu wengine bana. Yaani amani inakukeeera!!!
 
Huo ndio ipeo wako wa mwisho kufikiri. Halafu unamwambia mkeo wewe ni great thinker. Shame on you and your intellectual faculty.
 
Hivi huoni raha tukitulia hivi? Watu wengine bana. Yaani amani inakukeeera!!!

Naipenda sana amani lakin sasa nilikuwa natatizwa sana na huo mgogoro...
 
Kulikuwa na mgogoro cku za nyuma kwamba waislamu wanalazimisha kuwa wao ndo wana haki ya kuchinja....na wakristo wakisema sio lazima muislamu aje akuchinjie, hivi liliishaje hilo sakata? na nani waliopewa haki hiyo?
Msaada plz

Wanasema hivi kama huna cha kupost, ni bora ukaa kimyaa na kusoma post za wenzako wenye mawazo kuntu ya kujenga nchi na sio kuboa kama mawazo yako yalivyo! Na ulaananiwe kama walivyolaaniwa watu wote wasiolitakia mema taifa la Tanzania!
 
408045_320549398071314_843401007_n.jpg
 
Kulikuwa na mgogoro cku za nyuma kwamba waislamu wanalazimisha kuwa wao ndo wana haki ya kuchinja....na wakristo wakisema sio lazima muislamu aje akuchinjie, hivi liliishaje hilo sakata? na nani waliopewa haki hiyo?
Msaada plz

We dance according to the tune..
 
hakuna mwenye haki ya kumchinjia mwenzake si waislam wala wakristu mbuz kanunua mkristo wewe mwislam kwanini useme unahaki ya kumchinja vivohivyo kwa wakristo ila malidhiano ni mazuri maana waislam nao wamedhurumiwa kupumzika siku ya ijumaa
 
Back
Top Bottom