Ili uwe 'Mzee wa Dar es Salaam' inatakiwa uwe na sifa zipi?

Ili uwe 'Mzee wa Dar es Salaam' inatakiwa uwe na sifa zipi?

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,146
Reaction score
48,382
Tangu zama za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Rais wa Tanzania, mpaka Sasa Samia Suluhu akiwa Rais, wazee wa Dar es salaam wamekuwa wanapewa kipaumbele.

Inaonekana mara kadhaa Rais wa Tanzania anapotaka kuzungumzia jambo muhimu Kwa taifa hukutana na wazee wa Dar es salaam.

Sasa ili uwe na sifa ya kuitwa Mzee wa Dar es salaam inatakiwa uwe na sifa zipi?
 
Tangu zama za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Rais wa Tanzania, mpaka Sasa Samia Suluhu akiwa Rais, wazee wa Dar es salaam wamekuwa wanapewa kipaumbele.

Inaonekana mara kadhaa Rais wa Tanzania anapotaka kuzungumzia jambo muhimu Kwa taifa hukutana na wazee wa Dar es salaam.

Sasa ili uwe na sifa ya kuitwa Mzee wa Dar es salaam inatakiwa uwe na sifa zipi?
Chawa tu nothing special
 
Tangu zama za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Rais wa Tanzania, mpaka Sasa Samia Suluhu akiwa Rais, wazee wa Dar es salaam wamekuwa wanapewa kipaumbele.

Inaonekana mara kadhaa Rais wa Tanzania anapotaka kuzungumzia jambo muhimu Kwa taifa hukutana na wazee wa Dar es salaam.

Sasa ili uwe na sifa ya kuitwa Mzee wa Dar es salaam inatakiwa uwe na sifa zipi?
Sifa naomba wajuzi waziweke,ila kwa masikitiko makubwa kwangu wazee wa Dar walibomoa daraja pekee lililokuwa liwavushe wahanga wa mauaji ya halaiki kikao chao cha mwisho.Na bila hata kujali yaliyotokea wakamwalika mbomoa daraja lenyewe.Binafsi ninadeni na wanaojiita wazee wa dar.
 
Na imechukua miongo 6 kutoka enzi za Nyerere kuuliza hili swali.Au sasa ndio ukichaa umewatalamaki?
 
Uwre na sifa hizi:
(1) uwe mstaafu wa serikali, mzee wa ccm au mfanya biashara mkubwa kama wakwepa kodi na wanaofaidika na mfumo wa serikali ya ccm.
(ii)uwe chawa
(iii)uwe unaamini kwamba raisi ndo kila kitu kwa nchi, mfano mzee butiku na genge lake.
(iv)uwe unaabudu mizimu etc
(v) Akili yako yote kabidhi rais
......
 
Tangu zama za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Rais wa Tanzania, mpaka Sasa Samia Suluhu akiwa Rais, wazee wa Dar es salaam wamekuwa wanapewa kipaumbele.

Inaonekana mara kadhaa Rais wa Tanzania anapotaka kuzungumzia jambo muhimu Kwa taifa hukutana na wazee wa Dar es salaam.

Sasa ili uwe na sifa ya kuitwa Mzee wa Dar es salaam inatakiwa uwe na sifa zipi?
Lazima uwe kada wa Ccm.
 
Tangu zama za Mwalimu Julius Kambarage Nyerere akiwa Rais wa Tanzania, mpaka Sasa Samia Suluhu akiwa Rais, wazee wa Dar es salaam wamekuwa wanapewa kipaumbele.

Inaonekana mara kadhaa Rais wa Tanzania anapotaka kuzungumzia jambo muhimu Kwa taifa hukutana na wazee wa Dar es salaam.

Sasa ili uwe na sifa ya kuitwa Mzee wa Dar es salaam inatakiwa uwe na sifa zipi?
Uwe unashinda pale Saigon na ofisi za yanga jangwani na msikiti wa manyema ukinywa kahawa.
 
Na imechukua miongo 6 kutoka enzi za Nyerere kuuliza hili swali.Au sasa ndio ukichaa umewatalamaki?
Akili hizi ndizo zinazotudhalilisha Kwa waja wa nchi nyingine. Wewe ni mkaguzi wa maswali yanayoulizwa na watanzania wote?
 
Akili hizi ndizo zinazotudhalilisha Kwa waja wa nchi nyingine. Wewe ni mkaguzi wa maswali yanayoulizwa na watanzania wote?
Watanzania wote unawawakilisha wewe?Nimehoji kuhusu swali lako la kipumbavu.Unasema ni wazee wa Dar halafu unauliza ni kina nani?
 
Back
Top Bottom