Ujuzi unahitaji vifaa, unahitaji pesa kuuendeleza.Ni kwel lakin not always true..Ni just a fact but hik sio kigezo cha wewe kuendelea kuwa masikin kisa huna pesa.
Nilikua siamin but now mimi najionea kwangu mwenyewe how unaweza tengeneza pesa just ukiwa na ujuzi tu endapo utaamua kuutafutia soko.
People are need out there.Just find out what they need and see if you can provide
motivesheni spika na blah blah kibaoNi kwel lakin not always true..Ni just a fact but hik sio kigezo cha wewe kuendelea kuwa masikin kisa huna pesa.
Nilikua siamin but now mimi najionea kwangu mwenyewe how unaweza tengeneza pesa just ukiwa na ujuzi tu endapo utaamua kuutafutia soko.
People are need out there.Just find out what they need and see if you can provide
Mipango mbalimbali ya kimaendeleo huwa inakwama kutokana na ukosefu wa pesa.
Umaskini ni adhabu kubwa sana pia umaskini unadhalilisha mno.
Ni ngumu sana kutoboa kimaisha ukiwa maskini na hata kwenye kusoma huwezi kusoma kwa raha kutokana na umaskini.
Pesa hufuata pesa nyenzake ilipo.
Ujuzi unahitaji vifaa, unahitaji pesa kuuendeleza.
Sawa chief..the view is there...u choose any side to look.motivesheni spika na blah blah kibao
bila pesa, izo skills zako = null
Unachekesha wew! siku ukijua hakuna anaewaza kuhusu maisha yako zaidi yako utafuta hiyo kauli.Kwa huu msoto ninaopitia sijui tu. Always nasema hivi ni ngumu sana mtu kuanzia from scratch yani huna maisha mpaka upate hela ya kujitegemea sio rahisi.
Nalijua ilo tokea zamani sana ndio maana napambana usiku na mchana kutoboa. Ila msoto naopitia nikiangalia na wanaonizunguka unanifanya niwe mgumu zaidi na independent kwao. Siwazi kuhusu msaada wa mtu MkuuUnachekesha wew! siku ukijua hakuna anaewaza kuhusu maisha yako zaidi yako utafuta hiyo kauli.
Safi inatakiwa usimtegemee mtu na kuendeleza mapambano kikubwa uhai na uzima.Nalijua ilo tokea zamani sana ndio maana napambana usiku na mchana kutoboa. Ila msoto naopitia nikiangalia na wanaonizunguka unanifanya niwe mgumu zaidi na independent kwao. Siwazi kuhusu msaada wa mtu Mkuu
Ni kwel lakin not always true..Ni just a fact but hik sio kigezo cha wewe kuendelea kuwa masikin kisa huna pesa.
Nilikua siamin but now mimi najionea kwangu mwenyewe how unaweza tengeneza pesa just ukiwa na ujuzi tu endapo utaamua kuutafutia soko.
People are need out there.Just find out what they need and see if you can provide