Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,746
- 36,268
Mtu amepewa kadi za hharusi na send-off 5, na zote inabidi achangie kulipa fadhila.
VICOBA vitatu vyote anadaiwa, upatu unamtesa, tv ya mkopo, mpaka nguo za mkopo.
Akipata pesa anapunguza huku, anakopa kule anakula anaanza tena kukopa.
Utasikia nikopeshe laki tarehe 10 nakulipa unamwambia subiri mambo si mazuri. Inafika tarehe 11 anaomba tena umkopeshe. Unajiuliza si alisema tarehe 10 atakuwa na pesa , ina maana ningemkopesha siku ile tarehe aliyoniahidi ilikuwa ni tarehe hewa,.
Usipozingatia kwenye suala la misaada, michango na kukopesha utaishia kuwa maskini
VICOBA vitatu vyote anadaiwa, upatu unamtesa, tv ya mkopo, mpaka nguo za mkopo.
Akipata pesa anapunguza huku, anakopa kule anakula anaanza tena kukopa.
Utasikia nikopeshe laki tarehe 10 nakulipa unamwambia subiri mambo si mazuri. Inafika tarehe 11 anaomba tena umkopeshe. Unajiuliza si alisema tarehe 10 atakuwa na pesa , ina maana ningemkopesha siku ile tarehe aliyoniahidi ilikuwa ni tarehe hewa,.
Usipozingatia kwenye suala la misaada, michango na kukopesha utaishia kuwa maskini