Hii kazi inayo endelea ya kuikomboa Tanzania kutoka katika mikono ya waovu; Samia na Genge lake ni muhimu; lakini haitatosha kuleta mabadiliko chanya endapo CCM kama chama itaendelea kuwepo.
Kutokana na muundo wake na mfumo wa uendeshaji wa shughuli zake CCM daima itaendelea kuwa ni adui mkubwa wa nchi.
Nitaeleza maana yangu kwa mifano miwili:
Uongozi wa John Magufuli ulipoingia kuongoza nchi chini ya kiongozi huyo; chama kiligeuka kuwa kama ni mali yake na kukiendesha kama alivyopenda mwenyewe. Alitumia muundo wa chama hicho kupitisha yote aliyotaka yeye yafanyike.
Alipochukua hatamu Samia Suluhu Hassan, na yeye kachukua mtindo huo huo wa Magufuli kukitumia chama alivyo penda mwenyewe. Tofauti kidogo ikawa ni kuwaingiza Genge kushika hatamu za chama. Kwa hiyo chama sasa kinatumika kutimiza matakwa ya Samia na Genge lake.
Sasa je, tunaweza kubahatisha akatokea kiongozi mwenye nguvu ndani ya chama hicho na kukirudisha kwa wanachama wake na waTanzania kwa jumla?
Kiongozi wa namna hiyo katika hao wote waliomo ndani ya chama hicho sasa hivi simwoni; na pengine atakakuwa bado hajazaliwa! Kwani ukitazama hata hao UVCCM waliopo sasa wote wanapigana vibega tu kusaka maslahi binafsi.
Kesho Oktoba 29, twende tukatimize wajibu wetu wa mwanzo katika juhudi za kukipumzisha hiki chama ili Tanzania IPUMUE.
Kutokana na muundo wake na mfumo wa uendeshaji wa shughuli zake CCM daima itaendelea kuwa ni adui mkubwa wa nchi.
Nitaeleza maana yangu kwa mifano miwili:
Uongozi wa John Magufuli ulipoingia kuongoza nchi chini ya kiongozi huyo; chama kiligeuka kuwa kama ni mali yake na kukiendesha kama alivyopenda mwenyewe. Alitumia muundo wa chama hicho kupitisha yote aliyotaka yeye yafanyike.
Alipochukua hatamu Samia Suluhu Hassan, na yeye kachukua mtindo huo huo wa Magufuli kukitumia chama alivyo penda mwenyewe. Tofauti kidogo ikawa ni kuwaingiza Genge kushika hatamu za chama. Kwa hiyo chama sasa kinatumika kutimiza matakwa ya Samia na Genge lake.
Sasa je, tunaweza kubahatisha akatokea kiongozi mwenye nguvu ndani ya chama hicho na kukirudisha kwa wanachama wake na waTanzania kwa jumla?
Kiongozi wa namna hiyo katika hao wote waliomo ndani ya chama hicho sasa hivi simwoni; na pengine atakakuwa bado hajazaliwa! Kwani ukitazama hata hao UVCCM waliopo sasa wote wanapigana vibega tu kusaka maslahi binafsi.
Kesho Oktoba 29, twende tukatimize wajibu wetu wa mwanzo katika juhudi za kukipumzisha hiki chama ili Tanzania IPUMUE.