Ili Nchi iwe na amani, Simon Sirro awe Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini(IGP) , ana hofu ya Mungu

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
61f95-img_20160730_120808_555.jpg
Heshima kwenu wakuu,

Binafsi sitaki kumzungumzia Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu kwai alivyopatikana kila mtu anajua.

Kuna watu ndani ya Nchi yetu ambao wakipewa nafasi kila mtu atapiga Saluti. Tanzania inahitaji watu waliokomaa kisiasa na wanaojua wajibu wao na miiko ya kiuongozi. Nikiangalia katika jeshi la Polisi, Mtu ambaye anaweza kuvaa hivi viatu vya IGP na akakubalika kwa kila mtu ni Kamanda Simon Siro.

Huyu mtu bwana muone hivi hivi. Ana Misimamo na hapelekeshwi bali huzingatia sheria. NI mtu anayejua kazi yake. Mimi nmeanza kumfahamu utendaji wake katika Operation Kimbunga.

Kwanza yupo karibu na watu, hadharau mkubwa wala mdogo, anamjua Mungu na anajua miiko ya kiuongozi. Ni mtu ambaye hana Kashifa ya Ufisadi na anauchukia Ufisadi.

Kamishna Simon Sirro amesema kitendo cha askari kunyang’anywa silaha na majambazi ni aibu na fedheha kwao na Jeshi la Polisi, akisema madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa jamii.

Ni mtu ambaye hapendi watu waonewe na ana huruma kwa Wananchi. Ni mtu anayeamin katika utii wa sheria bila shuruti na ndo Kauri mbiu yake.

Kwa wasio mjua Kamanda Siro, huyu ni Afande asiye na Tabaka na anayependa Miziki ya Bongo Freva. Huyu Kamishna Simon Sirro bwana, mimi nampenda sababu ana ushirikiano na Waandishi wa Habari Simon Siro, Huyu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, haogopi mtu. yeye malengo yake alitaka kuwa Padre sema ndo hivo maisha na Mlima kupanda na kushuka

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro Wakati anahojiwa na wandishi wa habari alisema ndoto yake ilikuwa kuwa Padri wa Kanisa Katoliki kabla ya kukatishwa na wazazi wake na kuamua kujiunga na jeshi hilo nchini.

Sirro ni kamanda wa 14 wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, aliteuliwa na Rais John Magufuli Februari 15, kushika wadhifa huo baada ya aliyekuwa kamanda wa kanda hiyo kuanzia mwaka 2008, Suleiman Kova kustaafu

“Unajua kama Mungu ameniweka hai na kunipa kazi sina cha kujutia. Wakati nikiwa kijana nilikulia katika maadili mazuri na kusoma seminari na sikuwa na mambo mengi sana labda najutia kutokuwa padri maana nilikuwa nimefikia hatua ya mbali sana.”

Kamanda Sirro ambaye ana sifa ya kuhamishiwa katika mikoa yenye matukio makubwa ya uhalifu na ujambazi, alipoulizwa sababu za kuacha upadri na kujiunga na Jeshi la Polisi alisema : “Ilikuja tu nikajikuta nimebadilisha mawazo, lakini kikubwa ilikuwa wazazi. Unajua wazazi kule kwetu Musoma ilikuwa hawakuelewi usipooa.”

Kamanda Sirro ambaye amewahi kuwa Kamanda wa polisi katika mikoa ya Tanga, Shinyanga na Mwanza alieleza jinsi alivyoweza kubadilika kutoka katika mtizamo na maadili ya kujiandaa kuwa padri hadi kuingia polisi.

“Fikiria zile amri kuu za Mungu. Kama unakuwa padri si ndiyo unasimamia hizo. Unaniuliza niliwezaje kubadilika sasa kama ukiwa padri mtu akivunja amri hizo unamfanyaje?” alihoji Sirro ambaye alieleza kuwa anapenda zaidi kusikiliza nyimbo za kanisa hilo.

“Lazima mtu uendane na wakati na mazingira yaliyopo. Ningekuwa padri mngekuja kunitembelea na kukuta chumba changu kina misalaba na pengine mngeshindwa hata kunihoji.”

Si jambo zuri kumpongeza mtu kwa mauaji, lakini kwa mauaji ya wahalifu, tena ambao walitoa roho za watu wasio na hatia mimi nadhani hili halina mjadala. Kamanda Siro naweza kusema kwa kasi yake, naanza kuamini kwanini watu wengi pamoja nami tunakuita Kamanda.

Naamini sasa umewaeleza askari unataka watu waishi kwa amani na wanaofanya biashara wafanye biashara pasipo hofu, na palipo na mianya ya uhalifu, unaishugulikia kwa kutokomeza kabisa magenge hayo.

Miaka fulani hapo nyuma tulikuwa tukisikia kuwa majambazi wameiba na kutokomea kusikojulikana wakiwa na pikipiki, lakini hivi sasa askari wale wale ambao walikuwa nao wakifanya kazi ya doria kwa kutumia pikipiki na magari, ndio hao hao sasa hivi wanakula sahani moja na majambazi na kufanikiwa ama kuwakamata hai au wafu.

Si tu kuwakamata majambazi, lakini pia tunashuhudia upatikanaji wa silaha ambazo majambazi hawa walikuwa wakizitumia. Vyema sasa makamanda wa mikoa mingine, nao wakaiga kazi hii inayofanywa na Afande Siro.

Kwani watu wachache wanamuangusha sababu ya vyeo vyao. Tumpe nafasi Kamanda Siro aongoze jeshi letu, Ni mtu mwenye plan ya Kazi zake na kafanyi kazi ili asifiwe.

Ni wakati wa Kanda Sirro. Twende na Wakati
 
View attachment 387001
Heshima kwenu wakuu,

Binafsi sitaki kumzungumzia Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu kwai alivyopatikana kila mtu anajua.

Kuna watu ndani ya Nchi yetu ambao wakipewa nafasi kila mtu atapiga Saluti. Tanzania inahitaji watu waliokomaa kisiasa na wanaojua wajibu wao na miiko ya kiuongozi. Nikiangalia katika jeshi la Polisi, Mtu ambaye anaweza kuvaa hivi viatu vya IGP na akakubalika kwa kila mtu ni Kamanda Simon Siro.

Huyu mtu bwana muone hivi hivi. Ana Misimamo na hapelekeshwi bali huzingatia sheria. NI mtu anayejua kazi yake. Mimi nmeanza kumfahamu utendaji wake katika Operation Kimbunga.

Kwanza yupo karibu na watu, hadharau mkubwa wala mdogo, anamjua Mungu na anajua miiko ya kiuongozi. Ni mtu ambaye hana Kashifa ya Ufisadi na anauchukia Ufisadi.

Kamishna Simon Sirro amesema kitendo cha askari kunyang’anywa silaha na majambazi ni aibu na fedheha kwao na Jeshi la Polisi, akisema madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa jamii.

Ni mtu ambaye hapendi watu waonewe na ana huruma kwa Wananchi. Ni mtu anayeamin katika utii wa sheria bila shuruti na ndo Kauri mbiu yake.

Kwa wasio mjua Kamanda Siro, huyu ni Afande asiye na Tabaka na anayependa Miziki ya Bongo Freva. Huyu Kamishna Simon Sirro bwana, mimi nampenda sababu ana ushirikiano na Waandishi wa Habari Simon Siro, Huyu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, haogopi mtu. yeye malengo yake alitaka kuwa Padre sema ndo hivo maisha na Mlima kupanda na kushuka

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro Wakati anahojiwa na wandishi wa habari alisema ndoto yake ilikuwa kuwa Padri wa Kanisa Katoliki kabla ya kukatishwa na wazazi wake na kuamua kujiunga na jeshi hilo nchini.

Sirro ni kamanda wa 14 wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, aliteuliwa na Rais John Magufuli Februari 15, kushika wadhifa huo baada ya aliyekuwa kamanda wa kanda hiyo kuanzia mwaka 2008, Suleiman Kova kustaafu

“Unajua kama Mungu ameniweka hai na kunipa kazi sina cha kujutia. Wakati nikiwa kijana nilikulia katika maadili mazuri na kusoma seminari na sikuwa na mambo mengi sana labda najutia kutokuwa padri maana nilikuwa nimefikia hatua ya mbali sana.”

Kamanda Sirro ambaye ana sifa ya kuhamishiwa katika mikoa yenye matukio makubwa ya uhalifu na ujambazi, alipoulizwa sababu za kuacha upadri na kujiunga na Jeshi la Polisi alisema : “Ilikuja tu nikajikuta nimebadilisha mawazo, lakini kikubwa ilikuwa wazazi. Unajua wazazi kule kwetu Musoma ilikuwa hawakuelewi usipooa.”

Kamanda Sirro ambaye amewahi kuwa Kamanda wa polisi katika mikoa ya Tanga, Shinyanga na Mwanza alieleza jinsi alivyoweza kubadilika kutoka katika mtizamo na maadili ya kujiandaa kuwa padri hadi kuingia polisi.

“Fikiria zile amri kuu za Mungu. Kama unakuwa padri si ndiyo unasimamia hizo. Unaniuliza niliwezaje kubadilika sasa kama ukiwa padri mtu akivunja amri hizo unamfanyaje?” alihoji Sirro ambaye alieleza kuwa anapenda zaidi kusikiliza nyimbo za kanisa hilo.

“Lazima mtu uendane na wakati na mazingira yaliyopo. Ningekuwa padri mngekuja kunitembelea na kukuta chumba changu kina misalaba na pengine mngeshindwa hata kunihoji.”

Si jambo zuri kumpongeza mtu kwa mauaji, lakini kwa mauaji ya wahalifu, tena ambao walitoa roho za watu wasio na hatia mimi nadhani hili halina mjadala. Kamanda Siro naweza kusema kwa kasi yake, naanza kuamini kwanini watu wengi pamoja nami tunakuita Kamanda.

Naamini sasa umewaeleza askari unataka watu waishi kwa amani na wanaofanya biashara wafanye biashara pasipo hofu, na palipo na mianya ya uhalifu, unaishugulikia kwa kutokomeza kabisa magenge hayo.

Miaka fulani hapo nyuma tulikuwa tukisikia kuwa majambazi wameiba na kutokomea kusikojulikana wakiwa na pikipiki, lakini hivi sasa askari wale wale ambao walikuwa nao wakifanya kazi ya doria kwa kutumia pikipiki na magari, ndio hao hao sasa hivi wanakula sahani moja na majambazi na kufanikiwa ama kuwakamata hai au wafu.

Si tu kuwakamata majambazi, lakini pia tunashuhudia upatikanaji wa silaha ambazo majambazi hawa walikuwa wakizitumia. Vyema sasa makamanda wa mikoa mingine, nao wakaiga kazi hii inayofanywa na Afande Siro.

Kwani watu wachache wanamuangusha sababu ya vyeo vyao. Tumpe nafasi Kamanda Siro aongoze jeshi letu, Ni mtu mwenye plan ya Kazi zake na kafanyi kazi ili asifiwe.

Ni wakati wa Kanda Sirro. Twende na Wakati
Alisoma seminari, only an inch kuwa padre! Lakini..................................................................
 
Kwa hiyo mauaji ya askari jana unamaanisha nini? ina maana ina uhusiano na hizi tick tack mnazofanya? mnataka kumharibia Mangu?
 
View attachment 387001
Heshima kwenu wakuu,

Binafsi sitaki kumzungumzia Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu kwai alivyopatikana kila mtu anajua.

Kuna watu ndani ya Nchi yetu ambao wakipewa nafasi kila mtu atapiga Saluti. Tanzania inahitaji watu waliokomaa kisiasa na wanaojua wajibu wao na miiko ya kiuongozi. Nikiangalia katika jeshi la Polisi, Mtu ambaye anaweza kuvaa hivi viatu vya IGP na akakubalika kwa kila mtu ni Kamanda Simon Siro.

Huyu mtu bwana muone hivi hivi. Ana Misimamo na hapelekeshwi bali huzingatia sheria. NI mtu anayejua kazi yake. Mimi nmeanza kumfahamu utendaji wake katika Operation Kimbunga.

Kwanza yupo karibu na watu, hadharau mkubwa wala mdogo, anamjua Mungu na anajua miiko ya kiuongozi. Ni mtu ambaye hana Kashifa ya Ufisadi na anauchukia Ufisadi.

Kamishna Simon Sirro amesema kitendo cha askari kunyang’anywa silaha na majambazi ni aibu na fedheha kwao na Jeshi la Polisi, akisema madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa jamii.

Ni mtu ambaye hapendi watu waonewe na ana huruma kwa Wananchi. Ni mtu anayeamin katika utii wa sheria bila shuruti na ndo Kauri mbiu yake.

Kwa wasio mjua Kamanda Siro, huyu ni Afande asiye na Tabaka na anayependa Miziki ya Bongo Freva. Huyu Kamishna Simon Sirro bwana, mimi nampenda sababu ana ushirikiano na Waandishi wa Habari Simon Siro, Huyu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, haogopi mtu. yeye malengo yake alitaka kuwa Padre sema ndo hivo maisha na Mlima kupanda na kushuka

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro Wakati anahojiwa na wandishi wa habari alisema ndoto yake ilikuwa kuwa Padri wa Kanisa Katoliki kabla ya kukatishwa na wazazi wake na kuamua kujiunga na jeshi hilo nchini.

Sirro ni kamanda wa 14 wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, aliteuliwa na Rais John Magufuli Februari 15, kushika wadhifa huo baada ya aliyekuwa kamanda wa kanda hiyo kuanzia mwaka 2008, Suleiman Kova kustaafu

“Unajua kama Mungu ameniweka hai na kunipa kazi sina cha kujutia. Wakati nikiwa kijana nilikulia katika maadili mazuri na kusoma seminari na sikuwa na mambo mengi sana labda najutia kutokuwa padri maana nilikuwa nimefikia hatua ya mbali sana.”

Kamanda Sirro ambaye ana sifa ya kuhamishiwa katika mikoa yenye matukio makubwa ya uhalifu na ujambazi, alipoulizwa sababu za kuacha upadri na kujiunga na Jeshi la Polisi alisema : “Ilikuja tu nikajikuta nimebadilisha mawazo, lakini kikubwa ilikuwa wazazi. Unajua wazazi kule kwetu Musoma ilikuwa hawakuelewi usipooa.”

Kamanda Sirro ambaye amewahi kuwa Kamanda wa polisi katika mikoa ya Tanga, Shinyanga na Mwanza alieleza jinsi alivyoweza kubadilika kutoka katika mtizamo na maadili ya kujiandaa kuwa padri hadi kuingia polisi.

“Fikiria zile amri kuu za Mungu. Kama unakuwa padri si ndiyo unasimamia hizo. Unaniuliza niliwezaje kubadilika sasa kama ukiwa padri mtu akivunja amri hizo unamfanyaje?” alihoji Sirro ambaye alieleza kuwa anapenda zaidi kusikiliza nyimbo za kanisa hilo.

“Lazima mtu uendane na wakati na mazingira yaliyopo. Ningekuwa padri mngekuja kunitembelea na kukuta chumba changu kina misalaba na pengine mngeshindwa hata kunihoji.”

Si jambo zuri kumpongeza mtu kwa mauaji, lakini kwa mauaji ya wahalifu, tena ambao walitoa roho za watu wasio na hatia mimi nadhani hili halina mjadala. Kamanda Siro naweza kusema kwa kasi yake, naanza kuamini kwanini watu wengi pamoja nami tunakuita Kamanda.

Naamini sasa umewaeleza askari unataka watu waishi kwa amani na wanaofanya biashara wafanye biashara pasipo hofu, na palipo na mianya ya uhalifu, unaishugulikia kwa kutokomeza kabisa magenge hayo.

Miaka fulani hapo nyuma tulikuwa tukisikia kuwa majambazi wameiba na kutokomea kusikojulikana wakiwa na pikipiki, lakini hivi sasa askari wale wale ambao walikuwa nao wakifanya kazi ya doria kwa kutumia pikipiki na magari, ndio hao hao sasa hivi wanakula sahani moja na majambazi na kufanikiwa ama kuwakamata hai au wafu.

Si tu kuwakamata majambazi, lakini pia tunashuhudia upatikanaji wa silaha ambazo majambazi hawa walikuwa wakizitumia. Vyema sasa makamanda wa mikoa mingine, nao wakaiga kazi hii inayofanywa na Afande Siro.

Kwani watu wachache wanamuangusha sababu ya vyeo vyao. Tumpe nafasi Kamanda Siro aongoze jeshi letu, Ni mtu mwenye plan ya Kazi zake na kafanyi kazi ili asifiwe.

Ni wakati wa Kanda Sirro. Twende na Wakati
mahaba yako si ya wote

ingekuwa ivyo Mbowe angekuwa rais mstaafu
 
Maaskiri walilaaniwa toka pale walipompigilia Yesu pale msalabani na ndipo wakaanza kuwa waongo maana waliongopa kuwa Yesu Kristo Mwana wa Mungu ameibiwa baada ya kufufuka.
 
Mkuu, hivi mtu mwenye hofu ya Mungu kutoka moyoni unamjuaje?
huyu @figaniga atakuwa wana undugu na huyu siro,ndo maana kaamua kupiga debe,pengine ataambulia hata udereva wa IGP.
avute subira aliepo akistaafu basi aanzishe kampeni zake,
ila siro amezeeka,bora wilibroad mtafungwa ndo anafaa sana kama next IGP
 
Lete na ile clip aliyokuwa anaonyesha t-shirt zilizoandikwa Ukuta, MTU mwenye hofu ya Mungu huangalia katiba na sheria zinasemaje na kuzitekeleza bila kuangalia nani anasema nini, hofu ya Mungu haipimwi kwa kuangalia ndoto ulizokuwa nazo utotoni ambazo hujazifikia.. Endelea kumpigia debe labda mwangi wa sauti yako utamfikia mteuzi
 
View attachment 387001
Heshima kwenu wakuu,

Binafsi sitaki kumzungumzia Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu kwai alivyopatikana kila mtu anajua.

Kuna watu ndani ya Nchi yetu ambao wakipewa nafasi kila mtu atapiga Saluti. Tanzania inahitaji watu waliokomaa kisiasa na wanaojua wajibu wao na miiko ya kiuongozi. Nikiangalia katika jeshi la Polisi, Mtu ambaye anaweza kuvaa hivi viatu vya IGP na akakubalika kwa kila mtu ni Kamanda Simon Siro.

Huyu mtu bwana muone hivi hivi. Ana Misimamo na hapelekeshwi bali huzingatia sheria. NI mtu anayejua kazi yake. Mimi nmeanza kumfahamu utendaji wake katika Operation Kimbunga.

Kwanza yupo karibu na watu, hadharau mkubwa wala mdogo, anamjua Mungu na anajua miiko ya kiuongozi. Ni mtu ambaye hana Kashifa ya Ufisadi na anauchukia Ufisadi.

Kamishna Simon Sirro amesema kitendo cha askari kunyang’anywa silaha na majambazi ni aibu na fedheha kwao na Jeshi la Polisi, akisema madhara yake yanaweza kuwa makubwa kwa jamii.

Ni mtu ambaye hapendi watu waonewe na ana huruma kwa Wananchi. Ni mtu anayeamin katika utii wa sheria bila shuruti na ndo Kauri mbiu yake.

Kwa wasio mjua Kamanda Siro, huyu ni Afande asiye na Tabaka na anayependa Miziki ya Bongo Freva. Huyu Kamishna Simon Sirro bwana, mimi nampenda sababu ana ushirikiano na Waandishi wa Habari Simon Siro, Huyu Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, haogopi mtu. yeye malengo yake alitaka kuwa Padre sema ndo hivo maisha na Mlima kupanda na kushuka

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Kamishna Simon Sirro Wakati anahojiwa na wandishi wa habari alisema ndoto yake ilikuwa kuwa Padri wa Kanisa Katoliki kabla ya kukatishwa na wazazi wake na kuamua kujiunga na jeshi hilo nchini.

Sirro ni kamanda wa 14 wa Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, aliteuliwa na Rais John Magufuli Februari 15, kushika wadhifa huo baada ya aliyekuwa kamanda wa kanda hiyo kuanzia mwaka 2008, Suleiman Kova kustaafu

“Unajua kama Mungu ameniweka hai na kunipa kazi sina cha kujutia. Wakati nikiwa kijana nilikulia katika maadili mazuri na kusoma seminari na sikuwa na mambo mengi sana labda najutia kutokuwa padri maana nilikuwa nimefikia hatua ya mbali sana.”

Kamanda Sirro ambaye ana sifa ya kuhamishiwa katika mikoa yenye matukio makubwa ya uhalifu na ujambazi, alipoulizwa sababu za kuacha upadri na kujiunga na Jeshi la Polisi alisema : “Ilikuja tu nikajikuta nimebadilisha mawazo, lakini kikubwa ilikuwa wazazi. Unajua wazazi kule kwetu Musoma ilikuwa hawakuelewi usipooa.”

Kamanda Sirro ambaye amewahi kuwa Kamanda wa polisi katika mikoa ya Tanga, Shinyanga na Mwanza alieleza jinsi alivyoweza kubadilika kutoka katika mtizamo na maadili ya kujiandaa kuwa padri hadi kuingia polisi.

“Fikiria zile amri kuu za Mungu. Kama unakuwa padri si ndiyo unasimamia hizo. Unaniuliza niliwezaje kubadilika sasa kama ukiwa padri mtu akivunja amri hizo unamfanyaje?” alihoji Sirro ambaye alieleza kuwa anapenda zaidi kusikiliza nyimbo za kanisa hilo.

“Lazima mtu uendane na wakati na mazingira yaliyopo. Ningekuwa padri mngekuja kunitembelea na kukuta chumba changu kina misalaba na pengine mngeshindwa hata kunihoji.”

Si jambo zuri kumpongeza mtu kwa mauaji, lakini kwa mauaji ya wahalifu, tena ambao walitoa roho za watu wasio na hatia mimi nadhani hili halina mjadala. Kamanda Siro naweza kusema kwa kasi yake, naanza kuamini kwanini watu wengi pamoja nami tunakuita Kamanda.

Naamini sasa umewaeleza askari unataka watu waishi kwa amani na wanaofanya biashara wafanye biashara pasipo hofu, na palipo na mianya ya uhalifu, unaishugulikia kwa kutokomeza kabisa magenge hayo.

Miaka fulani hapo nyuma tulikuwa tukisikia kuwa majambazi wameiba na kutokomea kusikojulikana wakiwa na pikipiki, lakini hivi sasa askari wale wale ambao walikuwa nao wakifanya kazi ya doria kwa kutumia pikipiki na magari, ndio hao hao sasa hivi wanakula sahani moja na majambazi na kufanikiwa ama kuwakamata hai au wafu.

Si tu kuwakamata majambazi, lakini pia tunashuhudia upatikanaji wa silaha ambazo majambazi hawa walikuwa wakizitumia. Vyema sasa makamanda wa mikoa mingine, nao wakaiga kazi hii inayofanywa na Afande Siro.

Kwani watu wachache wanamuangusha sababu ya vyeo vyao. Tumpe nafasi Kamanda Siro aongoze jeshi letu, Ni mtu mwenye plan ya Kazi zake na kafanyi kazi ili asifiwe.

Ni wakati wa Kanda Sirro. Twende na Wakati
MKUU MBONA KAMA UNAMNADI HIVI ILI AGOMBEE HIKO CHEO? KAMA KINGEKUWA KINAGOMBEWA LAKINI,AU UNAMPIGIA CHAPUO ILI MAGU AMUONE.

tHEN HUYU SI NDIYE ALIYEZUIA WATU WASIANDAMAE UKUTANI AU SIO HUYU?
 
Lete na ile clip aliyokuwa anaonyesha t-shirt zilizoandikwa Ukuta, MTU mwenye hofu ya Mungu huangalia katiba na sheria zinasemaje na kuzitekeleza bila kuangalia nani anasema nini, hofu ya Mungu haipimwi kwa kuangalia ndoto ulizokuwa nazo utotoni ambazo hujazifikia.. Endelea kumpigia debe labda mwangi wa sauti yako utamfikia mteuzi
Kwanza kasema uongo eti Kupinga udikteta ni uchochezi.
Hafai. Si mkweli. Ni mnafiki. Hana hofu hata ya malaika, achilia mbali hofu ya Mungu. yawezekana ndiyo maana alipiga kona kali kutoka upadre hadi upolisi.
 
Tanzania tunahitaji taasisi imara Na siyo MTU imara
Taasisi imara inajegwa na mtu imara,mwenye weledi,busara,asiyepokea wala kutoa rushwa,mwenye uwezo wakujenga misingi amabayo hata asipokuewepo yeye taasisi bado inaweza kufanya kazi kwa kasi,ari,nguvu na weledi uleule!
 
Back
Top Bottom