Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,685
- 11,988
Hiki kizazi kilichozaliwa TANU haipo, wameikuta CCM tu wengi hawana uzalendo
Namaanisha waliozaliwa kuanzia 1977 kuja juu wengi hawana Elimu ya uzalendo
Ili kuepusha kizazi kisichokuwa na maadili muhimu kuwe na vipindi vya t.v. na redio angalau saa moja kwa siku ili vijana wafundishwe uzalendo
Iwe ni lazima kusikiliza au kuangalia,Hii itafanya Vijana wengi wawe na sprit ya uzalendo km enzi za Baba wa Taifa mwalimu Nyerere
Unawaona wachina,wakorea,wajapan walivyo na utii na heshima kwa Nchi yao ni Kwasababu ya vipindi mbali mbali vinavyorushwa kuwajenga kimaadili vijana na ni lazima kufuatilia toka wakiwa watoto hadi wanakuwa
Ndio maana sio rahisi kusikia mjapan au mkorea anaitukana na kuidhihaki Nchi yake
Wizara ya michezo na utamaduni ipeleke mswaada bungeni ili kutengeneza Vijana wenye maadili tofauti na hawa wa sasa waliokosa nidhamu na heshima
Namaanisha waliozaliwa kuanzia 1977 kuja juu wengi hawana Elimu ya uzalendo
Ili kuepusha kizazi kisichokuwa na maadili muhimu kuwe na vipindi vya t.v. na redio angalau saa moja kwa siku ili vijana wafundishwe uzalendo
Iwe ni lazima kusikiliza au kuangalia,Hii itafanya Vijana wengi wawe na sprit ya uzalendo km enzi za Baba wa Taifa mwalimu Nyerere
Unawaona wachina,wakorea,wajapan walivyo na utii na heshima kwa Nchi yao ni Kwasababu ya vipindi mbali mbali vinavyorushwa kuwajenga kimaadili vijana na ni lazima kufuatilia toka wakiwa watoto hadi wanakuwa
Ndio maana sio rahisi kusikia mjapan au mkorea anaitukana na kuidhihaki Nchi yake
Wizara ya michezo na utamaduni ipeleke mswaada bungeni ili kutengeneza Vijana wenye maadili tofauti na hawa wa sasa waliokosa nidhamu na heshima