Going Concern
JF-Expert Member
- Jul 25, 2011
- 1,071
- 1,211
hapa wamefika mbali, nilikua nawait niskie wenye Tanzania watasemaje, thanks God wamepinga! eti wana jf mnasemaje?
hapa mie naanza kupaki mabegi yangu na kuanza kutafuta nchi ya kukimbilia maana wakikata msaada na sie 50% ya budget wao ndio wafadhili...wewe unadhani hapa itakuwaje?
ah hapa maisha kwisha haribika.
like seriously mie nachukia sana pale ambapo watu wanajidai wana maadili kumbe wizi mtupu!!!
kama tunasema kuwa ushoga ni wrong kulingana na religious wrtings basi pia tukemee vile vile kupitiana mbavuni na pia watu kuchachuana bila ndoa.
sasa kuanzia sasa tuweke sheria kuwa yoyote atakaye fumwa au atakaye kutwa anafanaya sex bila kuwa wameoana ni kunyongwa tuu kama tunavyonga mashoga. hapo wsasa kweli tunaweza sema kuwa misada yenu hatutaki kwak kuwa sie tuna maadili bora!!!
hapa mie naanza kupaki mabegi yangu na kuanza kutafuta nchi ya kukimbilia maana wakikata msaada na sie 50% ya budget wao ndio wafadhili...wewe unadhani hapa itakuwaje?
ah hapa maisha kwisha haribika.
like seriously mie nachukia sana pale ambapo watu wanajidai wana maadili kumbe wizi mtupu!!!
kama tunasema kuwa ushoga ni wrong kulingana na religious wrtings basi pia tukemee vile vile kupitiana mbavuni na pia watu kuchachuana bila ndoa.
sasa kuanzia sasa tuweke sheria kuwa yoyote atakaye fumwa au atakaye kutwa anafanaya sex bila kuwa wameoana ni kunyongwa tuu kama tunavyonga mashoga. hapo wsasa kweli tunaweza sema kuwa misada yenu hatutaki kwak kuwa sie tuna maadili bora!!!
mimi ninachopinga ni double standards.....unatumia neno la mungu kuhukumu a certain type or pratice na unatumia ujuzi wa mwanadamu kuhalalisha practice nyingie.
hapa tusilete za kuleta mbona saudi wana piga mawe wazinifu and the like na pia mashoga nao wanapigwa mawe....hapo kweli wakisema wao wanafuata neno la mungu siwezi bishi maana wanatumie benchmark hiyo hiyo kujudge hizo practices.
Kama ni misaada sijawaifaidi hata nukta wanafaidi mabush loyer wa ccm, hivyo naikae. Nadhani wakati umefika ziara za viongozi serikalini ziwe zinapitishwa na bunge kabla ya kufanyika na baada ya kufanyika, ili tujue kama zina tija kwa taifa ama zinalifilisi taifa. Nahoji ziara ya Rais kikwete na ujumbe wake ya hivi majuzi nchini Australia ina tija gani kwa taifa? Ziara hii imeligarimu taifa, inaligarimu taifa, na italigarimu taifa! Bunge chunguzeni hawa wahuni waregeshe pesa zetu! Ushoga wafanye wao na wakubwa wao huko uingeza.
sasa mipipi wewe hujatulia. sisi argument yetu ni kwamba sie ushova ni againzt maadili yetu...lakini unasahau ya kuwa basis ya hayo maadili ni vituba vya dini.
haya bwana nyie mnaofikiria na ubongo.....mie yangu macho...someone will cry i dnt know who!!!
Wakikata hiyo misaada nitafurahi sana!
Na ninaombea waikate. Na wengine wanaotupa misaada nao naombea waikate yote.
Wakiikata hiyo misaada nitafurahi sana!
Na ninaombea waikate. Na wengine wanaotupa misaada nao naombea waikate yote.
Misaada yote inaishia kwa mafisadi hivyo hata wakikata 100% wananchi hawataona athari yoyote ile ya kutisha, bali mafisadi ndio watakiona cha moto.